msabato masalia
Senior Member
- Dec 3, 2008
- 118
- 20
Wa-tz bwana.............ifungwe Taifa stars,full kulalamika,ITV,Channel 10 fukuza Maximo,..........wakiibiwa...........Mungu yupo!!!!!!!!Aaaaaaaaaaaaaaaaaagh,nendeni tena kwenye Tv mseme tumeibiwa. Mbona pesa ya Yanga na Simba pesa inapoliwa mnakuwa wakali kwenda hadi mahakamani kupinga????? Hivi kwa nini? Nimekata tamaaa. Home sweet Home???????????