Die Glockie: Je, ni kweli chombo hiki chenye nguvu ya ajabu, Hitler alikitumia kuunda silaha za ajabu na kufanya time traveling?

Safi Mkuu, sasa tafuta picha ya iliotengenezwa na Mjerumani.
Ubishi mwingine wala huaga hauna maana yeyote; chombo tunacho tumia kuwasilia hapa kimetengenezwa na wao, chupi uliovaa imetengenezwa na wao, miwani (kama una vaa miwani ) imetengenezwa na wao, ugonjwa wa malaria, typhod nk kule kwao hakuna, yapo huku kwetu lakini dawa wanatengeneza wao. Unaanza kuleta story za kabla ya ukoloni ukijua hata wewe huna uwezo wa kuzithibitisha kama kweli au uongo. Anyway, kwani kabla ya ukoloni kuja, hawa jamaa waliwezaje kututawala? Walitmia bunduki na mabomu wakati sisi tulitumia mikuki, huoni hadi hapo wao walikua mbele ya muda mbali zaidi kuliko sisi!? Enzi za Yesu (kama unaamini katika Biblia) walikua wanalima mashamba yao kwa kutumia ng'ombe, wakati sisi hadi sasa hivi tunatumia jembe la mkno, umeufkiria huo muda wa enzi za Yesu todate ni miaka mingapi imepita mkuu? Haya, bado unapinga kwamba sisi bado tunajadiri kuhusu mashimo ya vyoo mashuleni? Hapo ulipo, una nini ambacho kimetengezwa na sisi? Shati, soksi, chupi/boksa, simu etc vyote vimetoka kwao; but you know what? Raw materials za hivyo vyote tunavyo vitumia vimetoka Africa; why tumeshindwa kubadiri hizo raw materials into reality? Bado nina mashaka kama weusi tupo sawa na watu wa rangi nyingine.
Historia tunayofunzwa katungwa na mzungu na kuaminishiwa kuwa ukweli hata hiyo biblia katangenezwa Karne ya 19. Teknolojia ya hapo awali ilikuwa ya juu zaidi kuliko ya sasa. Africa tulipigwa mabomu hapo kale 1500-1750.
Wakati wa vita hutoroki na vitabu,nguo Wala mashine, nguo huraruka ikabidi ukae uchi Kwa kuwa uwezo wa kutumia pamba kama Uzi hauna kama ulizoea mashine na kununua dujani..I hope unanipata?
 
Safi Mkuu, sasa tafuta picha ya iliotengenezwa na Mjerumani.

Historia tunayofunzwa katungwa na mzungu na kuaminishiwa kuwa ukweli hata hiyo biblia katangenezwa Karne ya 19. Teknolojia ya hapo awali ilikuwa ya juu zaidi kuliko ya sasa. Africa tulipigwa mabomu hapo kale 1500-1750.
Wakati wa vita hutoroki na vitabu,nguo Wala mashine, nguo huraruka ikabidi ukae uchi Kwa kuwa uwezo wa kutumia pamba kama Uzi hauna kama ulizoea mashine na kununua dujani..I hope unanipata?

Achana na vitu vya kufikirika ambavyo havina ushahidi; waliopigwa mabomu ya ajabu wapo wengi; hivi bomu la HIROSHIMA na Nagasaki kule Japan si ni miaka ya juzi tu, na baadhi ya watu walio shuhudia hicho kitu bado wapo HAI!? Again, kama (kama ni kweli lakini ) babu zetu walipigwa mabomu miaka 1500-1750 bado huoni hawa jamaa wametuzidi mbali sana, miaka ya kina Mkwawa na kina Kinjekitile wamepigana kwa mikuki miaka ya juzi tu hapo yaani 1880-1907, wenzetu walikua na mabomu miaka 1500-1750 (hi nimetoa kwako na ramani yako ) huoni kama KIAKILI wapo very far above us; Haya Japan walipigwa bomu mwaka 1945 lakini leo kampuni yao ya Toyota over 30 years ndio the No 1 motor vihecle company in the world in sells, wao hawasingizii kupigwa mabomu, sisi tunasingizia mabomu (ambayo wala hatuna uhakika kama kweli tulipigwa) mwaka 1500-1750, none nense; naendelea kujiuliza kama hawa watu weupe ni binadamu kama sisi; tubishane but inafikirisha HASA
 
Ubishi mwingine wala huaga hauna maana yeyote; chombo tunacho tumia kuwasilia hapa kimetengenezwa na wao, chupi uliovaa imetengenezwa na wao, miwani (kama una vaa miwani ) imetengenezwa na wao, ugonjwa wa malaria, typhod nk kule kwao hakuna, yapo huku kwetu lakini dawa wanatengeneza wao. Unaanza kuleta story za kabla ya ukoloni ukijua hata wewe huna uwezo wa kuzithibitisha kama kweli au uongo. Anyway, kwani kabla ya ukoloni kuja, hawa jamaa waliwezaje kututawala? Walitmia bunduki na mabomu wakati sisi tulitumia mikuki, huoni hadi hapo wao walikua mbele ya muda mbali zaidi kuliko sisi!? Enzi za Yesu (kama unaamini katika Biblia) walikua wanalima mashamba yao kwa kutumia ng'ombe, wakati sisi hadi sasa hivi tunatumia jembe la mkno, umeufkiria huo muda wa enzi za Yesu todate ni miaka mingapi imepita mkuu? Haya, bado unapinga kwamba sisi bado tunajadiri kuhusu mashimo ya vyoo mashuleni? Hapo ulipo, una nini ambacho kimetengezwa na sisi? Shati, soksi, chupi/boksa, simu etc vyote vimetoka kwao; but you know what? Raw materials za hivyo vyote tunavyo vitumia vimetoka Africa; why tumeshindwa kubadiri hizo raw materials into reality? Bado nina mashaka kama weusi tupo sawa na watu wa rangi nyingine.
Huyo ni moja ya watu wanaoamini kwamba tech kwa asilimia kubwa imetoka kwa watu weusi, wanaamini kua mtu mweusi ndo mwanzilishi wa mambo kibao.
Wanadai hapo kale blacks walikua mbele kimaendeleo kuliko mzungu.

Hii nadharia yao inashangaza sana, hivi kweli wewe ulikua mbele kimaendeleo unakuja tawaliwa na aliekua nyuma kabisa kwako, tena bahati mbaya zaidi hata hiyo historia ya kua mlikua mbele mnaitoa kwa hao waliokua nyuma, nyie hamna source yoyote kutoka kwa vizazi vyenu kuthibitisha kua mlikua mbele.

Hizo huwa ni bogosha za kuwafariji watu weusi mkuu, ila kiuhalisia ni kua hatujawahi kua mbele ya mzungu labda siku zijazo.
 
Achana na vitu vya kufikirika ambavyo havina ushahidi; waliopigwa mabomu ya ajabu wapo wengi; hivi bomu la HIROSHIMA na Nagasaki kule Japan si ni miaka ya juzi tu, na baadhi ya watu walio shuhudia hicho kitu bado wapo HAI!? Again, kama (kama ni kweli lakini ) babu zetu walipigwa mabomu miaka 1500-1750 bado huoni hawa jamaa wametuzidi mbali sana, miaka ya kina Mkwawa na kina Kinjekitile wamepigana kwa mikuki miaka ya juzi tu hapo yaani 1880-1907, wenzetu walikua na mabomu miaka 1500-1750 (hi nimetoa kwako na ramani yako ) huoni kama KIAKILI wapo very far above us; Haya Japan walipigwa bomu mwaka 1945 lakini leo kampuni yao ya Toyota over 30 years ndio the No 1 motor vihecle company in the world in sells, wao hawasingizii kupigwa mabomu, sisi tunasingizia mabomu (ambayo wala hatuna uhakika kama kweli tulipigwa) mwaka 1500-1750, none nense; naendelea kujiuliza kama hawa watu weupe ni binadamu kama sisi; tubishane but inafikirisha HASA
Hivi kwanini mtu mweusi anapenda sana wa kumtupia lawama.
Yaani kufeli kwetu tunamsingizia mzungu daah.

Na je na huko hiroshima na nagasaki nako ni jangwa kama hilo la namib??

Wanatafuta kujiteyea mkuu, ile race achana nayo imetuacha mbali mno.
 
Vitu vigani walitengeneza wakati wamevipata hapo. Part kubwa ya Historia shuleni ni kwenye runinga ni uongo mtupu.
Ramani za 1500-1750 zinaonyesha Africa imejaa miji mikubwa Tena bila jangwa la Kalahari, Namib na Sahara. Jangwa Kwa kawaida huletwa na nukes/nyuklia bombs na other high energy weapons.
Je uko na picha za kuundwa Kwa Reli ya Tanzania Zambia na Mabeberu?
Mkuu kumbe huwa uko timamu?
 
Achana na vitu vya kufikirika ambavyo havina ushahidi; waliopigwa mabomu ya ajabu wapo wengi; hivi bomu la HIROSHIMA na Nagasaki kule Japan si ni miaka ya juzi tu, na baadhi ya watu walio shuhudia hicho kitu bado wapo HAI!? Again, kama (kama ni kweli lakini ) babu zetu walipigwa mabomu miaka 1500-1750 bado huoni hawa jamaa wametuzidi mbali sana, miaka ya kina Mkwawa na kina Kinjekitile wamepigana kwa mikuki miaka ya juzi tu hapo yaani 1880-1907, wenzetu walikua na mabomu miaka 1500-1750 (hi nimetoa kwako na ramani yako ) huoni kama KIAKILI wapo very far above us; Haya Japan walipigwa bomu mwaka 1945 lakini leo kampuni yao ya Toyota over 30 years ndio the No 1 motor vihecle company in the world in sells, wao hawasingizii kupigwa mabomu, sisi tunasingizia mabomu (ambayo wala hatuna uhakika kama kweli tulipigwa) mwaka 1500-1750, none nense; naendelea kujiuliza kama hawa watu weupe ni binadamu kama sisi; tubishane but inafikirisha HASA
Mpka hapo hatoludi tena
 
Wasaalam

Naam,

Miaka fulani hadithi kuhusu ndege zenye umbo la sahani Almaarufu kama UFO (unidentified Flying Object ) zilishamili sana kuliko hata neno lenyewe, na usichokijua ni kwamba hata jina lenyewe lilipatikana kwasababu ya kutokufahamu vyombo hivi vilikuwa vinatoka wapi! Na viko chini ya milki ya nani!

Huku vikihusishwa zaidi na viumbe kutoka anga za mbali kama Alliens na vinginenevyo., Aghalabu visasili kuhusu alliens tunavifahamu sana tushashuhudia vidio na kusimuliwa zaidi hata ya Mara nyingi.

Hapa kwenye alliens kuna Makundi mawili ya watu duniani waaminio kama kweli wapo na ambao tunoamini hizi ni propaganda za USA., na washirika wake.

Si hilo tu zikazuka hadithi za kusafiri kwa wakati (Time travelin) kwenda Future na Past , lakini hata hizi zilihubiriwa sana na wanasayansi nguli na Hata movie zikatufikishia Ujumbe kwa namna moja au nyingine nyingi.

Lakini mpaka sasa dunia na wakazi wake tumebaki kwenye kitendawili kinachoitwa "HOW" au "WHY" hili ni FUMBO.

I honestly think there's more to this world than what we see,.with our own Eyes and I believe they do.

View attachment 2165932
Nikurudishe karibu karne moja iliyopita ambapo Hitler, NAZI na Ujerumani kwa Ujumla walipoitetemesha dunia??

Ulishawahi kujiuliza jeuri ya Hitler, na ndoto za kuisambaratisha dunia na kuiteka kabisa wakati ule alizitoa wapi?? Mpaka katika point ya mwisho kabisa ambayo hitler anapoteza?

Je, ushawahi kufikiria wanasayansi wa NAZI walivyokuwa na hamu ya kutengeneza silaha ambayo ingeweza kuyapoteza na kuyarudisha nyuma majeshi ya Maadui zao yaliyokuwa yakisonga kuja kufanya Uvamizi dhidi yao?

Je, ni kweli hizi fununu zinazotwambia waliunda UFO yao ya ili kushinda Vita vya Pili vya Dunia?? Ndivyo au sivyo.

View attachment 2165934

Walakini, ushawahi kuskia habari za "Die Glocke" (Kengele) hii ilitengengezwa katika mfumo wa kengele na ndiyo maana ikapata jina hilo lakini hii inaelezwa ilitumika zaidi kama zilivyo UFO.

Kuna Video kutoka kwa mwanahistoria wa kijeshi Mark Felton, inayozungumzia kifaa chenye umbo la kengele ambacho shirika la kijeshi la Adolf Hitler la Schutzstaffel (SS) lilidaiwa kutengeneza kwa ustadi wa hali ya juu ambacho kilihusika na kazi nyingi sana.
Hata hivyo kundi lingine lilipinga na kusema waandishi wanaweza kuwa walitengeneza stori juu mashine hiyo, wakieneza sifa zake baada ya vita na kulipamba jopo la wanasayansi wa NAZI.

Lakini hili halituzuii sisi kukubali kwamba wanasayansi wa NAZI walikuwa na uwezo wa hali ya juu sana katika kipindi kile cha vita.
Ingawa WaNAZI walipoteza katika Vita vya Pili vya Dunia, lakini ziliibuka hadithi nyingi sana baada ya vita ,wakiwa na sifa ya kuwa na karibu kila silaha zenye teknolojia ya hali ya juu.

Mizinga ya Nazi mara nyingi ilikuwa bora kitaalam kuliko mizinga ya Maadui zao., Wao walirusha ndege za kivita katika mapigano kabla ya Maadui kufanya hivyo,pia makombora tofauti tofauti ambayo yalikuwa na uwezo wa hali ya juu kuliko kawaida, ingawa habari hizi zina shaka kimkakati.

View attachment 2165946

Maadui walichukulia mafanikio ya wanasayansi na wahandisi wa NAZI, kuwa ya hali ya juu sana, Hata Jeshi la Marekani lilituma timu za upelelezi nchini Ujerumani katika hatua za baadaye za vita ili kuchota kundi la wanasayansi na baadhi ya mbinu za teknolojia za kijeshi kabla ya kutumia nguvu na juhudi zingine.

Juhudi hizo, zilifanikwa kuchota baadhi ya teknolojia kama zakutengeneza makombora na pia kuchota watu wa muhimu kama Wernher von Braun, mhandisi maarufu wa anga ambaye alivumbua V-2 na baadaye akaunda roketi ya Saturn V ambayo ilikuja kutumika katika programu ya NASA ya Apollo.

Turudi kwenye Die Glockie
Kuhusu hii habari Die Glocke iliripotiwa kuwa moja ya Wajerumani kile walichokiita “wunderwaffe” (wonder weapon).

Habari za kifaa hicho zilionekana kwa mara ya kwanza katika kitabu cha 1960 , cha Morning of the Magicians. Die Glocke pia ilielezewa katika kitabu cha Igor Witkowski cha 2000 "Prawda o Wunderwaffe" (Ukweli Kuhusu Silaha ya Ajabu)

Na muda mfupi baadaye, kitabu cha Nick Cook cha The Hunt for Zero Point kikachimba kuhusu silaha hii, huyu ndiye alifunguka zaidi kuhusu zahma za silaha hiyo anasema hii pia ilikuwa machine inayowasafirisha kwenda sehemu mbalimbali au pia hata ilikuwa mashine ya kusafiri kwa wakati kwenda katika nyakati tofauti na kujifunza teknolojia ambayo ilikuwa sehemu ya mpango wa NAZI wa kudhibiti maadui na kuiteka dunia.

ILIWEZEKANAJE?
Hapa nami nikuunganisha doti , inawezekanaje Hitler apate jeuri na kujiamini kuidhibiti dunia hadi pale kibao kilipogeuka huenda basi silaha na teknolojia hizo na hii Die Glockie zilikuwa chachu ya Ujeuri wake.

View attachment 2165937
Bwana Cook hata aliezea uwezekano kwamba kanali maarufu wa NAZI Hans Kammler aliiuza Die Glocke kwa jeshi la U.S ili kubadilishana na uhuru wake. (Kammler alitoweka katika siku za mwisho za Vita dunia vya pili na hakuonekana tena.) inaelezwa Kammler baada ya kuwa chini ya jeshi la Adui , akatoboa siri kuhusu Die Glockie na maadui wakafanikiwa kuichukua huku kammler akipatiwa uhuru wa maisha yake , lakini hakuwahi kuonekana tena mpaka keshokutwa.

View attachment 2165938

HANS KAMMLER

Die glockie inadaiwa... (hakuna uthibitisho juu ya hilo)

-Ilitumika kuwapoteza maboya wanajeshi wa upinzani kutofikia point ambayo walitaka mfano kuvamia kambi mbalimbali za kijerumani

-ilitumika kwenda sayari za mbali kwa kuwa kifaa hiki kilikuwa ni Antgravity inadaiwa kiliweza kukatiza hadi orbit ya Dunia katika zama ambazo mandeleo haya ya sayansi na Teknolojia.
How spiritualy au?

-Ilitumika kusafiri kwa wakati , inaelezwa wanasayansi walitumia Die Glockie kama chombo cha kwenda nyakati tofauti tofauti kuchukua maarifa ya kutengeneza silaha ili kushinda vita.

-Ilisaidia kuwapa uwezo na nguvu za ziada.

Baada ya maadaui wa NAZI kufanikiwa kuwachota baadhi ya watu wataalamu wa NAZI na kufanikiwa kuwashinda Wakati Maadui hawa wa Ujerumani walipokuwa wanarudisha nyumbani silaha zenye teknolojia ya hali ya juu za Kijerumani wakati wa Project Paperclip, ambapo Von Braun aliwachoma wenzie, ikijumuisha ndege, mizinga na makombora, hakuna taarifa ya toleo lolote kuhusu Die Glocke iliyowahi kutoka na haieleweki kifaa hiki kilipelekwa wapi.

View attachment 2165940

Bado, baadhi ya Wanasayansi na wananadharia wa habari na fununu za UFO wanaamini kwamba vikosi vya Marekani viliwakamata wanasayansi wa NAZI, na hata Kammler mwenyewe na kuwaweka katika vitengo mbalimbali vya kuendeleza teknolojia ya Die Glocke ya kusafiri kwenda mbali na nyakati tofauti.

Kama hadithi hizi zinavyoendelea, hii iliishia katika kile kinachoitwa Tukio la Kecksburg, wakati UFO yenye umbo la kengele iliripotiwa kuanguka nje ya Kecksburg, Pennsylvania mnamo Desemba 1965.

View attachment 2165942

JE, UNAFIKIRIA nini?
Marekani anaposema hajavumbua njia yoyote ya kusafiri kwa wakati, lakini mwishowe anatuletea habari Kedekede kuhusu watu mbalimbali waliosafiri kwa wakati na picha zao za maeneo waliyofika,?

Chombo hiki bado ni Fumbo lakini vipi je ikiwa kiliendelea kuboreshwa na kuleta matokeo ambayo wao waliyataka .???

DaVINCI XV
Hiki kifaaa hakina tofauti na vimanas kwenye maandishi ya kihindu.
Nazis walikuwa wana projects kibao ambazo nyingine zimebaki kuwa siri.
 
Hiki kifaaa hakina tofauti na vimanas kwenye maandishi ya kihindu.
Nazis walikuwa wana projects kibao ambazo nyingine zimebaki kuwa siri.
Naaam project zao zilikuwa nyingu qmabazo pia zilikuwa assisted na Kundi la Thule society ambazo hazijaongelewa hapa kundi ambalo bwana wao adolph alikuwa member huko
 
Wasaalam

Naam,

Miaka fulani hadithi kuhusu ndege zenye umbo la sahani Almaarufu kama UFO (unidentified Flying Object ) zilishamili sana kuliko hata neno lenyewe, na usichokijua ni kwamba hata jina lenyewe lilipatikana kwasababu ya kutokufahamu vyombo hivi vilikuwa vinatoka wapi! Na viko chini ya milki ya nani!

Huku vikihusishwa zaidi na viumbe kutoka anga za mbali kama Alliens na vinginenevyo., Aghalabu visasili kuhusu alliens tunavifahamu sana tushashuhudia vidio na kusimuliwa zaidi hata ya Mara nyingi.

Hapa kwenye alliens kuna Makundi mawili ya watu duniani waaminio kama kweli wapo na ambao tunoamini hizi ni propaganda za USA., na washirika wake.

Si hilo tu zikazuka hadithi za kusafiri kwa wakati (Time travelin) kwenda Future na Past , lakini hata hizi zilihubiriwa sana na wanasayansi nguli na Hata movie zikatufikishia Ujumbe kwa namna moja au nyingine nyingi.

Lakini mpaka sasa dunia na wakazi wake tumebaki kwenye kitendawili kinachoitwa "HOW" au "WHY" hili ni FUMBO.

I honestly think there's more to this world than what we see,.with our own Eyes and I believe they do.

View attachment 2165932
Nikurudishe karibu karne moja iliyopita ambapo Hitler, NAZI na Ujerumani kwa Ujumla walipoitetemesha dunia??

Ulishawahi kujiuliza jeuri ya Hitler, na ndoto za kuisambaratisha dunia na kuiteka kabisa wakati ule alizitoa wapi?? Mpaka katika point ya mwisho kabisa ambayo hitler anapoteza?

Je, ushawahi kufikiria wanasayansi wa NAZI walivyokuwa na hamu ya kutengeneza silaha ambayo ingeweza kuyapoteza na kuyarudisha nyuma majeshi ya Maadui zao yaliyokuwa yakisonga kuja kufanya Uvamizi dhidi yao?

Je, ni kweli hizi fununu zinazotwambia waliunda UFO yao ya ili kushinda Vita vya Pili vya Dunia?? Ndivyo au sivyo.

View attachment 2165934

Walakini, ushawahi kuskia habari za "Die Glocke" (Kengele) hii ilitengengezwa katika mfumo wa kengele na ndiyo maana ikapata jina hilo lakini hii inaelezwa ilitumika zaidi kama zilivyo UFO.

Kuna Video kutoka kwa mwanahistoria wa kijeshi Mark Felton, inayozungumzia kifaa chenye umbo la kengele ambacho shirika la kijeshi la Adolf Hitler la Schutzstaffel (SS) lilidaiwa kutengeneza kwa ustadi wa hali ya juu ambacho kilihusika na kazi nyingi sana.
Hata hivyo kundi lingine lilipinga na kusema waandishi wanaweza kuwa walitengeneza stori juu mashine hiyo, wakieneza sifa zake baada ya vita na kulipamba jopo la wanasayansi wa NAZI.

Lakini hili halituzuii sisi kukubali kwamba wanasayansi wa NAZI walikuwa na uwezo wa hali ya juu sana katika kipindi kile cha vita.
Ingawa WaNAZI walipoteza katika Vita vya Pili vya Dunia, lakini ziliibuka hadithi nyingi sana baada ya vita ,wakiwa na sifa ya kuwa na karibu kila silaha zenye teknolojia ya hali ya juu.

Mizinga ya Nazi mara nyingi ilikuwa bora kitaalam kuliko mizinga ya Maadui zao., Wao walirusha ndege za kivita katika mapigano kabla ya Maadui kufanya hivyo,pia makombora tofauti tofauti ambayo yalikuwa na uwezo wa hali ya juu kuliko kawaida, ingawa habari hizi zina shaka kimkakati.

View attachment 2165946

Maadui walichukulia mafanikio ya wanasayansi na wahandisi wa NAZI, kuwa ya hali ya juu sana, Hata Jeshi la Marekani lilituma timu za upelelezi nchini Ujerumani katika hatua za baadaye za vita ili kuchota kundi la wanasayansi na baadhi ya mbinu za teknolojia za kijeshi kabla ya kutumia nguvu na juhudi zingine.

Juhudi hizo, zilifanikwa kuchota baadhi ya teknolojia kama zakutengeneza makombora na pia kuchota watu wa muhimu kama Wernher von Braun, mhandisi maarufu wa anga ambaye alivumbua V-2 na baadaye akaunda roketi ya Saturn V ambayo ilikuja kutumika katika programu ya NASA ya Apollo.

Turudi kwenye Die Glockie
Kuhusu hii habari Die Glocke iliripotiwa kuwa moja ya Wajerumani kile walichokiita “wunderwaffe” (wonder weapon).

Habari za kifaa hicho zilionekana kwa mara ya kwanza katika kitabu cha 1960 , cha Morning of the Magicians. Die Glocke pia ilielezewa katika kitabu cha Igor Witkowski cha 2000 "Prawda o Wunderwaffe" (Ukweli Kuhusu Silaha ya Ajabu)

Na muda mfupi baadaye, kitabu cha Nick Cook cha The Hunt for Zero Point kikachimba kuhusu silaha hii, huyu ndiye alifunguka zaidi kuhusu zahma za silaha hiyo anasema hii pia ilikuwa machine inayowasafirisha kwenda sehemu mbalimbali au pia hata ilikuwa mashine ya kusafiri kwa wakati kwenda katika nyakati tofauti na kujifunza teknolojia ambayo ilikuwa sehemu ya mpango wa NAZI wa kudhibiti maadui na kuiteka dunia.

ILIWEZEKANAJE?
Hapa nami nikuunganisha doti , inawezekanaje Hitler apate jeuri na kujiamini kuidhibiti dunia hadi pale kibao kilipogeuka huenda basi silaha na teknolojia hizo na hii Die Glockie zilikuwa chachu ya Ujeuri wake.

View attachment 2165937
Bwana Cook hata aliezea uwezekano kwamba kanali maarufu wa NAZI Hans Kammler aliiuza Die Glocke kwa jeshi la U.S ili kubadilishana na uhuru wake. (Kammler alitoweka katika siku za mwisho za Vita dunia vya pili na hakuonekana tena.) inaelezwa Kammler baada ya kuwa chini ya jeshi la Adui , akatoboa siri kuhusu Die Glockie na maadui wakafanikiwa kuichukua huku kammler akipatiwa uhuru wa maisha yake , lakini hakuwahi kuonekana tena mpaka keshokutwa.

View attachment 2165938

HANS KAMMLER

Die glockie inadaiwa... (hakuna uthibitisho juu ya hilo)

-Ilitumika kuwapoteza maboya wanajeshi wa upinzani kutofikia point ambayo walitaka mfano kuvamia kambi mbalimbali za kijerumani

-ilitumika kwenda sayari za mbali kwa kuwa kifaa hiki kilikuwa ni Antgravity inadaiwa kiliweza kukatiza hadi orbit ya Dunia katika zama ambazo mandeleo haya ya sayansi na Teknolojia.
How spiritualy au?

-Ilitumika kusafiri kwa wakati , inaelezwa wanasayansi walitumia Die Glockie kama chombo cha kwenda nyakati tofauti tofauti kuchukua maarifa ya kutengeneza silaha ili kushinda vita.

-Ilisaidia kuwapa uwezo na nguvu za ziada.

Baada ya maadaui wa NAZI kufanikiwa kuwachota baadhi ya watu wataalamu wa NAZI na kufanikiwa kuwashinda Wakati Maadui hawa wa Ujerumani walipokuwa wanarudisha nyumbani silaha zenye teknolojia ya hali ya juu za Kijerumani wakati wa Project Paperclip, ambapo Von Braun aliwachoma wenzie, ikijumuisha ndege, mizinga na makombora, hakuna taarifa ya toleo lolote kuhusu Die Glocke iliyowahi kutoka na haieleweki kifaa hiki kilipelekwa wapi.

View attachment 2165940

Bado, baadhi ya Wanasayansi na wananadharia wa habari na fununu za UFO wanaamini kwamba vikosi vya Marekani viliwakamata wanasayansi wa NAZI, na hata Kammler mwenyewe na kuwaweka katika vitengo mbalimbali vya kuendeleza teknolojia ya Die Glocke ya kusafiri kwenda mbali na nyakati tofauti.

Kama hadithi hizi zinavyoendelea, hii iliishia katika kile kinachoitwa Tukio la Kecksburg, wakati UFO yenye umbo la kengele iliripotiwa kuanguka nje ya Kecksburg, Pennsylvania mnamo Desemba 1965.

View attachment 2165942

JE, UNAFIKIRIA nini?
Marekani anaposema hajavumbua njia yoyote ya kusafiri kwa wakati, lakini mwishowe anatuletea habari Kedekede kuhusu watu mbalimbali waliosafiri kwa wakati na picha zao za maeneo waliyofika,?

Chombo hiki bado ni Fumbo lakini vipi je ikiwa kiliendelea kuboreshwa na kuleta matokeo ambayo wao waliyataka .???

DaVINCI XV
All conspiracies

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom