mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,460
Safi Mkuu, sasa tafuta picha ya iliotengenezwa na Mjerumani.
Historia tunayofunzwa katungwa na mzungu na kuaminishiwa kuwa ukweli hata hiyo biblia katangenezwa Karne ya 19. Teknolojia ya hapo awali ilikuwa ya juu zaidi kuliko ya sasa. Africa tulipigwa mabomu hapo kale 1500-1750.Ubishi mwingine wala huaga hauna maana yeyote; chombo tunacho tumia kuwasilia hapa kimetengenezwa na wao, chupi uliovaa imetengenezwa na wao, miwani (kama una vaa miwani ) imetengenezwa na wao, ugonjwa wa malaria, typhod nk kule kwao hakuna, yapo huku kwetu lakini dawa wanatengeneza wao. Unaanza kuleta story za kabla ya ukoloni ukijua hata wewe huna uwezo wa kuzithibitisha kama kweli au uongo. Anyway, kwani kabla ya ukoloni kuja, hawa jamaa waliwezaje kututawala? Walitmia bunduki na mabomu wakati sisi tulitumia mikuki, huoni hadi hapo wao walikua mbele ya muda mbali zaidi kuliko sisi!? Enzi za Yesu (kama unaamini katika Biblia) walikua wanalima mashamba yao kwa kutumia ng'ombe, wakati sisi hadi sasa hivi tunatumia jembe la mkno, umeufkiria huo muda wa enzi za Yesu todate ni miaka mingapi imepita mkuu? Haya, bado unapinga kwamba sisi bado tunajadiri kuhusu mashimo ya vyoo mashuleni? Hapo ulipo, una nini ambacho kimetengezwa na sisi? Shati, soksi, chupi/boksa, simu etc vyote vimetoka kwao; but you know what? Raw materials za hivyo vyote tunavyo vitumia vimetoka Africa; why tumeshindwa kubadiri hizo raw materials into reality? Bado nina mashaka kama weusi tupo sawa na watu wa rangi nyingine.
Wakati wa vita hutoroki na vitabu,nguo Wala mashine, nguo huraruka ikabidi ukae uchi Kwa kuwa uwezo wa kutumia pamba kama Uzi hauna kama ulizoea mashine na kununua dujani..I hope unanipata?