Lazaroj
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,452
- 1,043
Waaa... dar huyoooMwanaume rijali unajipinda kuandika hivi kweli? Iv hata unadindisha? Nadhani we ni kaoge
Waaa... dar huyoooMwanaume rijali unajipinda kuandika hivi kweli? Iv hata unadindisha? Nadhani we ni kaoge
Huyu jamaa katika harakati zake za kutafuta umaarufu waga anakaa tu na kufklia kitu cha kuandika basi, mara ajifanye anatoa ushauri, mara anamponda kiba, mara hivi na vile, hapo hakuna cha mdau wala mkereketwa anabishana na akili zake tu, ss kuna baadhi ya watu watakuja nakutokwa povu weee utazani issue yenyewe ina ukweli wowote
Bahati mbaya mi huwa sina ushabiki maandazi kwamba nimpendelee huyu na yule nimponde. panapo ukweli lazma waambiwe na hicho ndo kinafanya mziki uende mbele."
Nitoboeee.?
Baada ya nguli wa mziki wa Bongo fuleva kuvunja rekodi ya video yake "kutizamwa" mara nyingi zaidi ya video yoyote afrika kwa muda mfupi wadau wamejitokeza na kusema kuwa "eti" mkali huyo ananunua Viewers ili video zake zionekane zinatazamwa zaidi wakati kiuhalisia Video za Alikiba ndo zinapaswa kuwa na viewers wengi zaidi. Wadau hao pia wameongeza kuwa hata wale "folowaz" mamilion kule instagram amewanunua na wengi wao ni fake. "Kiukweli DIMONDI hana hadhi ya kutazamwa mara M1ndani ya siku nne,labda kama amenunua vyuwaz" alisema mkoja wa wakereketwa waliochukizwa na video hiyo kutizamwa zaidi.
Naombeni mniambie hivi ni kweli mtu anaweza kununua "vyuwaz" maana me mgeni katika maswala haya ya mitandaoView attachment 371873
hilo ndio swali la msingi nimeuliza ila hakuna alienijibu watu wamerukia kwenye mambo mengine kabisawananunuliwaje sasa hao watu mi kama sielew vilee
hilo ndio swali la msingi nimeuliza ila hakuna alienijibu watu wamerukia kwenye mambo mengine kabisa
Maneno yako ni majibu tosha.Kwa akili ya kawaida wanasema tuzo anahonga, analipa watu kuja kwenye show, analipa watu kuja kwenda kumpokea, analipa watu ku request nyimbo zake, analipa vituo cha redio visipige nyimbo za wasanii wengine na leo mnadai ananunua viewers na followers..
Hivi inaingia akilini kweli? Kwa madai yenu ni sawa na kusema jamaa ana pesa nyingi sana ya kugawa na kuhonga na mziki haumlipi ila yeye ndiye anaulipa.
Acheni uzushi jamani.
Wanampromte kiaina..... basi km ni hvyo yy ndiye msanii mwenye hela ndefu bongo coz kuhonga mtv sio mchezoKwa akili ya kawaida wanasema tuzo anahonga, analipa watu kuja kwenye show, analipa watu kuja kwenda kumpokea, analipa watu ku request nyimbo zake, analipa vituo cha redio visipige nyimbo za wasanii wengine na leo mnadai ananunua viewers na followers..
Hivi inaingia akilini kweli? Kwa madai yenu ni sawa na kusema jamaa ana pesa nyingi sana ya kugawa na kuhonga na mziki haumlipi ila yeye ndiye anaulipa.
Acheni uzushi jamani.
Tukadai chetuMimi nimeangalia zaidi ya mara kumi yotube na sijalipwa naomba nisaidie namba ya Plutnumz anipe changu
Mm naomba wamsaidie kiswahli cha viewers ili asituharibie lugha wkt mwingineNisaidieni kwani, "Vyuwazi" ni nini? na wanapatikana wapi na mimi niende?