Nilumsikia siku walipoitwa na JK kuwekwa sawa kwa ajili ya kampeni. Nikajiuliza huyu anajua chochote kweli kuhusu maendeleo?? Maaana kwake yeye mwanae kuwa na account na followers instagram ni maendeleo kwa taifa.
hatareee
sana
Nilumsikia siku walipoitwa na JK kuwekwa sawa kwa ajili ya kampeni. Nikajiuliza huyu anajua chochote kweli kuhusu maendeleo?? Maaana kwake yeye mwanae kuwa na account na followers instagram ni maendeleo kwa taifa.
Nimeona facebook... watu wamempandia sana hewani
Elewa alichomaanisha mtu kusema ukabila sio kwamba kamlenga lowasa na sumaye na usijifanye hujaona mabango yanayo sema "kazini na lowasa mpaka ikulu" lakin pia angalia uongozi wa Chadema kuna ukabila,kujuana na ufamilia sema sasa hivi mikoa yote ya kaskazini wameamua kumuunga Mkono ndugu yao pia rejelea maneno ya F.SUMAYE kuhusu ukabila pia ujiulize anatoka ukanda gain
Weka hoja tuelewane
mitoto ya kuzaliwa vilabuni kama Diamond ni mijinga sana..Hivi kaishia darasa la nga[i huyu punda?
Habari zenu wadau..
Leo nikiwa napita napita kwenye mitandao ya kijamii nikaingia kidogo kwenye huu mtandao wa instagram..
Nimezoea kuona msanii Diamond aliyejitoa akili akimpost Magufuli na kumsifia kwa mambo mengi(hakuna tatizo hapa,ni ujinga wake na ni lazima uheshimiwe)..
Lakini leo nimeshangaa kwa kitu alichoandika,eti waliohama wote ni wakabila moja(lowasa,sumaye)..
Sina shaka alichoandika hakijatoka kichwani mwake bali ameagizwa(hilo sote twalijua)..
Tunajua wasanii wote walikua wana msapoti Lowasa mpaka walipoitwa kwenye dinner na kulainishwa na mwanasiasa bora,kuliko wote Tz,Mh.J.kikwete(kumbuka ni mwanasiasa bora na sio kikngozi bora).
MaSwali langu kwa DIAMOND,
1.una wakika kwamba SUMAYE NA LOWASA ni kabila moja.?
2.huoni kama unaleta uchochezi wa kikabila.?
3.ungekuwa Bado upo Tandale,je ungekuwa unamshabikia magufuli.?
4.kama CCM imetutengenezea maisha mazuri na huduma nzuri,kwanini demu wako(Zari) alijifungulia private hospital.?
5.kwanini kabla ya ku post chochote kuhusu magufuli unaomba kwanza usitukanwe.?
Ndugu yangu Somji Juma nasema UKAWA wote ni kabila moja kama unabisha ngoja nikudadavulie.
1. Aikael Mbowe ni mchagga
2. Edward Ngoyai Lowassa ni mchagga
3. Dr Emanuel Makaidi ni mchagga
4. Fedrick Sumaye ni mchagga
5. Maalim Seif Shariff Hamad mchagga wa kibosho
6. Prof Lipumba mchagga
7. Mrithi wa Prof Lipumba Taslimu mchagga wa Marangu.
Habari zenu wadau..
Leo nikiwa napita napita kwenye mitandao ya kijamii nikaingia kidogo kwenye huu mtandao wa instagram..
Nimezoea kuona msanii Diamond aliyejitoa akili akimpost Magufuli na kumsifia kwa mambo mengi(hakuna tatizo hapa,ni ujinga wake na ni lazima uheshimiwe)..
Lakini leo nimeshangaa kwa kitu alichoandika,eti waliohama wote ni wakabila moja(lowasa,sumaye)..
Sina shaka alichoandika hakijatoka kichwani mwake bali ameagizwa(hilo sote twalijua)..
Tunajua wasanii wote walikua wana msapoti Lowasa mpaka walipoitwa kwenye dinner na kulainishwa na mwanasiasa bora,kuliko wote Tz,Mh.J.kikwete(kumbuka ni mwanasiasa bora na sio kikngozi bora).
MaSwali langu kwa DIAMOND,
1.una wakika kwamba SUMAYE NA LOWASA ni kabila moja.?
2.huoni kama unaleta uchochezi wa kikabila.?
3.ungekuwa Bado upo Tandale,je ungekuwa unamshabikia magufuli.?
4.kama CCM imetutengenezea maisha mazuri na huduma nzuri,kwanini demu wako(Zari) alijifungulia private hospital.?
5.kwanini kabla ya ku post chochote kuhusu magufuli unaomba kwanza usitukanwe.?
Mi nadhani kwa tunaopenda Tanzania na Hatutaki ukabila wala udini... huyu jamaa anaturudisha nyuma na ni BORA kutomfuata kwenye PAge yake (UNFOLLOW) mi ndo naenda kujitoa... Star wa sanaa hawezi leta chokochoko za kiasiasa namna hii..
Haijalishi huyu katoka wapi? tumia kichwa kufikiri badala ya tumbo.. Mtume muhamad (SAW) na viongozi wake waandamizi sijawahi kuwasikia kuna waliotokea Brazil au Canada, hata Jesus Christ na mitume yake sijui hata mmoja mwenye asili ya Australia au Sudan lakini wana wafuasi dunia nzima. Labda kwa msaada kuna mikoa wakoloni kwa sababu zao walimua kufanya makazi yao, Hii mikoa ikabahatika kua na shule, ndiyo maana generation yetu ina shuhudia graduates wengi wakitokea kaskazini Arusha. Kilimanjaro, Kagera,Mbeya na Iringa... na sio Lindi au Mtwara, sasa unategemea harakati zianze Pwani Na sio Huku kwenye watu waliopendelewa ELIMU? lawama hizi wape wakoloni!Diamond yupo sahihi wote ni wakaskazini.
Mbowe, Lema, Kileo, Nassari, Lowassa, Komu, Mdee, Mnyika, Sumaye, Mbatia, Mtei, Ndesamburo, Selasini.
Diamond is a gonner
Entertainment and siasa ni vitu viwili tofauti
He forgets kwamba kwa kushabiki ccm ameshapoteza 50% ya washabiki wake
what a miscalculation at such a young age
huyo hamtaelewana coz ushabiki ni unatawala fikra zakeElewa alichomaanisha mtu kusema ukabila sio kwamba kamlenga lowasa na sumaye na usijifanye hujaona mabango yanayo sema "kazini na lowasa mpaka ikulu" lakin pia angalia uongozi wa Chadema kuna ukabila,kujuana na ufamilia sema sasa hivi mikoa yote ya kaskazini wameamua kumuunga Mkono ndugu yao pia rejelea maneno ya F.SUMAYE kuhusu ukabila pia ujiulize anatoka ukanda gain
Weka hoja tuelewane
njaa ndio inawasumbua hao acha kuongopea wapi eti wasanii wanao support CCM? dumb shitDiamond ana haki kama raia yeyote kufanyia kampeni kiongozi anayemtaka. Hakuna cha ajabu hapo. Wala si jambo geni kwa watu maarufu kujitokeza nyakati za kampeni duniani kote na kuwaunga mkono wale wanaofikiri ni bora kwao na Taifa. Tuache chuki na uchochezi unaodumaza ukuaji wa demokrasia katika nchi yetu. Kama hukubaliani nae jenga hoja kwa yule umtakae na sio kujaribu kumrudisha nyuma kisa ni maoni aliyotoa. Ni ukweli usiopingika mchango mkubwa alionao Diamond katika sanaa ya muziki nchini ni wa kiwango ambacho hakuna katika historia ya muziki amemfikia. Chonde chonde tulinde wasanii wetu na tuache chuki zisizo na tija kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Huyu kijana ni hazina kubwa kwenye sanaa ya nchi na bara letu tuache mzaha kabisa. Tumpe haki yake yA kutumia ushawishi alionao kumuunga mkono anayemtaka. Hajafanya kosa hata kidogo. Tuendelee kuwaunga mkono wasanii wetu wote kwenye kazi zao haya mengine tuwaache watumie haki yao ya kidemokrasia tafadhali. Kuvumiliana ni muhimu hata kama hukubaliani na mtazamo wake (wao)
Fungua link ujionee wasanii wanaounga mkono harakati za kisiasa na kutumia haki yao ipasavyo.
https://youtu.be/5IwHzj6gDBY
....mwambie diamond akafanye DNA test....kama unampenda....we fani yako ni ipi mana nataka nikushauri uanze wewe kuachana na siasa.....na wewe kama yeye uyo mdingi anakulea ni wakufikia mbane maza ako akupe ukweli we mtoto wa nani au kafanye DNA
Habari zenu wadau..
Leo nikiwa napita napita kwenye mitandao ya kijamii nikaingia kidogo kwenye huu mtandao wa instagram..
Nimezoea kuona msanii Diamond aliyejitoa akili akimpost Magufuli na kumsifia kwa mambo mengi(hakuna tatizo hapa,ni ujinga wake na ni lazima uheshimiwe)..
Lakini leo nimeshangaa kwa kitu alichoandika,eti waliohama wote ni wakabila moja(lowasa,sumaye)..
Sina shaka alichoandika hakijatoka kichwani mwake bali ameagizwa(hilo sote twalijua)..
Tunajua wasanii wote walikua wana msapoti Lowasa mpaka walipoitwa kwenye dinner na kulainishwa na mwanasiasa bora,kuliko wote Tz,Mh.J.kikwete(kumbuka ni mwanasiasa bora na sio kikngozi bora).
MaSwali langu kwa DIAMOND,
1.una wakika kwamba SUMAYE NA LOWASA ni kabila moja.?
2.huoni kama unaleta uchochezi wa kikabila.?
3.ungekuwa Bado upo Tandale,je ungekuwa unamshabikia magufuli.?
4.kama CCM imetutengenezea maisha mazuri na huduma nzuri,kwanini demu wako(Zari) alijifungulia private hospital.?
5.kwanini kabla ya ku post chochote kuhusu magufuli unaomba kwanza usitukanwe.?
kasome kwenye wall yake ndio ujue yupi ana chukiDiamond ana haki kama raia yeyote kufanyia kampeni kiongozi anayemtaka. Hakuna cha ajabu hapo. Wala si jambo geni kwa watu maarufu kujitokeza nyakati za kampeni duniani kote na kuwaunga mkono wale wanaofikiri ni bora kwao na Taifa. Tuache chuki na uchochezi unaodumaza ukuaji wa demokrasia katika nchi yetu. Kama hukubaliani nae jenga hoja kwa yule umtakae na sio kujaribu kumrudisha nyuma kisa ni maoni aliyotoa. Ni ukweli usiopingika mchango mkubwa alionao Diamond katika sanaa ya muziki nchini ni wa kiwango ambacho hakuna katika historia ya muziki amemfikia. Chonde chonde tulinde wasanii wetu na tuache chuki zisizo na tija kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Huyu kijana ni hazina kubwa kwenye sanaa ya nchi na bara letu tuache mzaha kabisa. Tumpe haki yake yA kutumia ushawishi alionao kumuunga mkono anayemtaka. Hajafanya kosa hata kidogo. Tuendelee kuwaunga mkono wasanii wetu wote kwenye kazi zao haya mengine tuwaache watumie haki yao ya kidemokrasia tafadhali. Kuvumiliana ni muhimu hata kama hukubaliani na mtazamo wake (wao)
Fungua link ujionee wasanii wanaounga mkono harakati za kisiasa na kutumia haki yao ipasavyo.
https://youtu.be/5IwHzj6gDBY
habari zenu wadau..
Leo nikiwa napita napita kwenye mitandao ya kijamii nikaingia kidogo kwenye huu mtandao wa instagram..
Nimezoea kuona msanii diamond aliyejitoa akili akimpost magufuli na kumsifia kwa mambo mengi(hakuna tatizo hapa,ni ujinga wake na ni lazima uheshimiwe)..
Lakini leo nimeshangaa kwa kitu alichoandika,eti waliohama wote ni wakabila moja(lowasa,sumaye)..
Sina shaka alichoandika hakijatoka kichwani mwake bali ameagizwa(hilo sote twalijua)..
Tunajua wasanii wote walikua wana msapoti lowasa mpaka walipoitwa kwenye dinner na kulainishwa na mwanasiasa bora,kuliko wote tz,mh.j.kikwete(kumbuka ni mwanasiasa bora na sio kikngozi bora).
maswali langu kwa diamond,
1.una wakika kwamba sumaye na lowasa ni kabila moja.?
2.huoni kama unaleta uchochezi wa kikabila.?
3.ungekuwa bado upo tandale,je ungekuwa unamshabikia magufuli.?
4.kama ccm imetutengenezea maisha mazuri na huduma nzuri,kwanini demu wako(zari) alijifungulia private hospital.?
5.kwanini kabla ya ku post chochote kuhusu magufuli unaomba kwanza usitukanwe.?
mjomba umeishia darasa la ngapi ?mmmh mi sijui ila nasikia yako? afu unajua kwamba anaekulea sio babako mulize mamako vizuri