Diamond hakuna unachodaiwa Kwenye music, lakini muombe saana Harmonize aendeleee kuwa juu la sivyo endelea kusimamia Biashara zako

We jiulize wasanii wangapi walishindanishwa na diamond sasa hivi wakowapi Kuna Belle 9, Darassa alivyotoa wimbo wake wa Mziki, Aslay, Richmavoko, Alikiba n.k angalia hawa wasanii walipo na alipo Diamond sasa hivi ndio utajua Diamond haitaji hashindanishwe ili apae kimziki bali hao wasanii ndio wanamuhitaji Diamond wafanye vizuri kimziki
Angalia ondoka ya Harmonize WCB mkuu then utapata concern yangu...bado Harmonize ndiye mtu anayeweza kuwa mpinzani wa Diamond..Belle 9 sijui Darasa Aslay Mavoko hawajawahi kuwa mahasimu wa Diamond kimuziki
 
Hapana mkuu naona kama unapotosha maana ya alichokisema Harmonize kuhusu kushika mkono..Lakini pia hoja kubwa ya Harmonize haikuwa mambo ya nyota bali ilikuwa ni kuonyesha Umma namna aliyoyapitia, figisu na manyanyaso wakati wa kuvunja mkataba wake..kuhusu aliyoyasema kama ni kweli au uongo anajua Harmonize na WCB
Kama unajua either ni kweli au uongo alichokisema kwanini umehitimisha Moja kea Moja alivyosema yote harmonize ni kweli?
 
Bango gani?
Huyu ndio msanii wako .......... halafu ndio Mondi amtizame yy,wenzake wana promoti kazi yeye ana promoti stress zake za mapenzi.
Screenshot_20230208_173429_Instagram.jpg
 
Angalia ondoka ya Harmonize WCB mkuu then utapata concern yangu...bado Harmonize ndiye mtu anayeweza kuwa mpinzani wa Diamond..Belle 9 sijui Darasa Aslay Mavoko hawajawahi kuwa mahasimu wa Diamond kimuziki
Harmonize hawezi kuwa mshindani wa Diamond hata kidogo mtu ambaye alikuwa mshindani sahihi ni Alikiba ambapo walikuwa wana ujazo unaokaribiana kuanzia fan base mpaka mziki leo diamond akitoa ngoma siku Moja na harmonize bila hata kuangalia ukali wa ngoma zenyewe unajua kabisa ya diamond itaenda viral kutokana na fan base kubwa aliyonayo diamond lakini ingekuwa na Kiba ingetemea na ukali wa ngoma ndio ingeamua ipi iende mjini zaidi. Kiufupi mkuu utofauti wa Diamond na Harmo ni mkubwa kiasi ambacho haiwezi kufanya wawe washindani
 
Mkuu don't underestimate kipaji, kujituma, ubunifu na skills alizotokanazo usafini Harmonize, watu wengi walijua alipotoka usafini atapotea lakini amemaintain kuanzia muziki na mafanikio ya kawaida, nakubaliana Harmonize yawezekana hajamfikia Mond kimusic lakini kwa namna Harmonize anavyoendesha muziki wake na maisha yake Mond atamuwaza Harmonize kuliko Kiba, Kiba ni kama Azam tu haivumi lakini ipo, Yanga na Simba hata siku moja hawawezi muhofia Azam asiye jitangaza wala kuwa na ubunifu wowote katika kuvutia mashabiki zake
Upo sahihi lakini ilichokosea kwenye mada yako ni kama umeonyesha tittle ya Mondi inategemea uwepo wa Harmo.

"Mondi akuna unachodaiwa kwenye muziki lakini muombe sana Harmonize aendelee kuwa juu"

hapo 👆umeonyesha Harmo akishuka na Mondi atashuka.
 
Mkuu don't underestimate kipaji, kujituma, ubunifu na skills alizotokanazo usafini Harmonize, watu wengi walijua alipotoka usafini atapotea lakini amemaintain kuanzia muziki na mafanikio ya kawaida, nakubaliana Harmonize yawezekana hajamfikia Mond kimusic lakini kwa namna Harmonize anavyoendesha muziki wake na maisha yake Mond atamuwaza Harmonize kuliko Kiba, Kiba ni kama Azam tu haivumi lakini ipo, Yanga na Simba hata siku moja hawawezi muhofia Azam asiye jitangaza wala kuwa na ubunifu wowote katika kuvutia mashabiki zake
Mnapenda kulazimisha kumuweka Harmo katika levels zisizo zake, Diamond hawezi kumuwaza huyo dogo kama competitor hata siku moja.
Hiyo plan alianzisha kutengeneza beef ili waonekane kama ni competitors lakini Diamond ni genius ndiyo maana mind game ya Harmo haikuwezekana na imebaki kwa fans/fanatics wake tu.
 
Let's be honest kwa ile Interview aliyofanya Harmonize airport kulikuwa na cha kujibu pale? Wote tunajua Harmonize alio ongea ukweli tena ukweli mtupu, Diamond asingiziwe yote yale then akae kimya ? Labda Sio Diamond huyu.
Kuhusu vijembe labda hufuatilii, lakini Mond pia anampiga vijembe mara kibao. Nakubaliana na wewe kuwa Mond yuko juu lakini bado ukweli unabaki mshindani wa Mond ni Harmonize
Ile interview alikuwa anatafuta kujibiwa, ni mind game bro. Diamond ana management ambayo inajua mbinu nyingi na goodness ni msikivu sana, kuna msemo 'don't argue with a fool otherwise people might not be able to tell the difference' na ndicho kilichofanyika akaishia kuonekana hamnazo. Alichokuwa anapigia kelele artists waliokuwa kwenye label yake ndiyo ikaonekana wana mikataba mibovu zaidi ukizingatia wala hafawafanyii uwekezaji wa maana.
 
We jiulize wasanii wangapi walishindanishwa na diamond sasa hivi wakowapi Kuna Belle 9, Darassa alivyotoa wimbo wake wa Mziki, Aslay, Richmavoko, Alikiba n.k angalia hawa wasanii walipo na alipo Diamond sasa hivi ndio utajua Diamond haitaji hashindanishwe ili apae kimziki bali hao wasanii ndio wanamuhitaji Diamond wafanye vizuri kimziki
Hata TID na Q Chillah(Q Chief) a while back Diamond alipoanza kuvuma sana walitengeza(or rather media zilitengeneza) mazingira ya kuwa wanashindanishwa na Q Chillah akidai Diamond kamuibia nyota yake na TID out of nowhere aka-force beef lakini Diamond akaendelea ku-concentrate na kazi zake bila kuangalia pembeni na wote leo wako wapi na yeye yuko wapi.
Hata hawa waolazimisha ushindani kwa sasa watapita na wataanza kumshindanisha na wengine.
 
Mtu pekee wa kumshindanisha na Diamond ni Ally Kiba katika hii nchi,Harmonize bado anahitaji kujifunza vitu vingi kutoka kwa Diamond.
Kwa mfuatiliaji mzuri wa muziki ataamini hiki ninachosema,kusanya ngoma za Mondi na Harmonize Kisha ulinganishe ubora.
Au Angalia fanbase,mauzo au contracts kati ya Mondi na Harmo ni tofauti.
At least King Kiba.
 
Let's be honest kwa ile Interview aliyofanya Harmonize airport kulikuwa na cha kujibu pale? Wote tunajua Harmonize alio ongea ukweli tena ukweli mtupu, Diamond asingiziwe yote yale then akae kimya ? Labda Sio Diamond huyu.
Kuhusu vijembe labda hufuatilii, lakini Mond pia anampiga vijembe mara kibao. Nakubaliana na wewe kuwa Mond yuko juu lakini bado ukweli unabaki mshindani wa Mond ni Harmonizmodn
mondi alishajibu; "mziki ni biashara"
 
Mtu pekee wa kumshindanisha na Diamond ni Ally Kiba katika hii nchi,Harmonize bado anahitaji kujifunza vitu vingi kutoka kwa Diamond.
Kwa mfuatiliaji mzuri wa muziki ataamini hiki ninachosema,kusanya ngoma za Mondi na Harmonize Kisha ulinganishe ubora.
Au Angalia fanbase,mauzo au contracts kati ya Mondi na Harmo ni tofauti.
At least King Kiba.
Kwenye Digital Platforms Kiba hata Vannboy hajamfikia, yaani kwenye digital platforms Mondi kamuacha mbali mno yaani mno sana.

Halafu huwezi fananisha mtu aliyepiga shows karibia 90% ya nchi zilizo jangwa la Sahara na anaye piga show EA maana hata wasanii wa WCB wanapiga show sana EA.

Mondi kampita vitu vingi mno ni kosa kubwa kumfananisha na Mondi labda kama unataka kumbusti Kiba.

Hapo bado kapiga show tatu za tuzo za mpira za CAF na show ktk michuano ya CAF championships zilizo fanyika Gabon kwa East Africa hapa jamaa yupo mbali sana.
 
Kwenye Digital Platforms Kiba hata Vannboy hajamfikia, yaani kwenye digital platforms Mondi kamuacha mbali mno yaani mno sana.

Halafu huwezi fananisha mtu aliyepiga shows karibia 90% ya nchi zilizo jangwa la Sahara na anaye piga show EA maana hata wasanii wa WCB wanapiga show sana EA.

Mondi kampita vitu vingi mno ni kosa kubwa kumfananisha na Mondi labda kama unataka kumbusti Kiba.

Hapo bado kapiga show tatu za tuzo za mpira za CAF na show ktk michuano ya CAF championships zilizo fanyika Gabon kwa East Africa hapa jamaa yupo mbali sana.
Tofauti ipo kubwa sana Harmo anatembelea Land Cruzer gx 100 series.
wakati Mondi ana-run RR,Bima na Cadillac Escalade.
wapo tofauti kabisa hao wasanii awafanani kwa kitu chochote kile.
 
Hamuwezi kukubali au kujua kwa sasa mshindani wa Mondi ni Konde, kizazi cha kina Mondi na Ali ndio kina sie tunaanza kuzeeka majukumu tele,
Wakina Konde, Zuchu, Marioo, Nandy, wapo kati baadae waje wakina Abby Chams, Yami,
Tukubali zama zinabadilika
Ulifanikiwa kupata mchumba ?
 
Nafikiri ni nature tu vitu viwili vinavyovyutana huvuma saana

Kanumba na Ray Kigosi walivuma saana kwenye bongo movie, sio kwa sababu walikuwa bora saana ila ushindani uliokwepo, Mwenyezi Mungu alipo mchukua Kanumba mbele za haki, Ray Kigosi I think ametafuta shughuli nyingine ya kufanya.

Nasma Hamis Kidogo Vs Hadija Kopa, kwa wale wahenga kidogo wanajua jinsi wababe hawa wa taarabu walivyokuwa kuwa juu lakini Najma alivyoenda mbele za haki Kopa tunamuona tu kwenye matamasha ya Zuchu tumesahau hata kama naye ni Mwanamuziki.

Ray C Vs Komando Jide , Ray C alipopata changamoto na kupotea kwenye music hata Lady Jay dee kwa sasa anazidiwa mpaka na mabinti wa juzi licha ya kuwa Jay dee nyimbo zake zina ujumbe, zinaishi, zinaelimisha kuliko hawa mabinti wanaoimba za kwikwi jogoo anawika.

Ally Choki na Banza Stone, hii miamba ina historia kubwa kwenye music wa dansi wa kisasa, lakini baada ya Banza stone kutangulia mbele za haki, kwa mara ya mwisho nilisikia Ally Choki amekuwa MC ametafuta.

Uwepo wa Simba Imara ndio kunafanya Yanga ifanye vizuri zaidi.

Vitu viwili vinavyovyutana sio kwa ubaya ila kwa kuendeleza kitu fulani ni jambo jema, ushindani huleta ubunifu na jitihada za kufanya vizuri.

Diamond endelea kuombea saaana Harmonize aendeleee kuwepo wepo kwenye game, Tanzania yote inajua hakuna unachodaiwa kwenye bongo flavour lakini ukweli mchungu pia kuwa nyimbo zako sio za kuishi, nyimbo za chutama mkongojo upite ni nyimbo zinazoishi siku chache, upinzani wako na Harmonize kwa sasa unakufanya uwe juu kimuziki na Harmonize bila wewe kuwa juu naye jioni tu atakuwa amesahaulika maana nyimbo za koh koh sio za kuishi.

Akina Marijani Rajabu etc ndio waliotengeneza nyimbo za kuishi.

Sio kwa ubaya kwa soko la sasa linahitaji nyimbo hizo mazoimba, Music umekuwa Biashara kubwa hivyo ni lazima uzalishe product inayotakiwa na wateja..

Ni muhimu saana wakati unaombea familia yako USISAHAU KUMUOMBEA ADUI YAKO MAANA KUNA NAMNA ANAFANYA AU ANAMCHANGO WA WEWE KUWEPO HAPO ULIPO YAWEZEKANA HATA BILA YEYE KUJUA.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Aache kuwabariki waTanzania wote akambariki Samia! Kwa lipi hasa!? Labda kama amekosa kazi.
 
Tofauti ipo kubwa sana Harmo anatembelea Land Cruzer gx 100 series.
wakati Mondi ana-run RR,Bima na Cadillac Escalade.
wapo tofauti kabisa hao wasanii awafanani kwa kitu chochote kile.
Mkuu umesema Cadillac nimekumbuka gari ya DON mmoja Rock city(Zongii), ya mwaka 2022. Gari kali sana asee
 
Back
Top Bottom