Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,183
- 1,502
- Thread starter
- #41
Angalia ondoka ya Harmonize WCB mkuu then utapata concern yangu...bado Harmonize ndiye mtu anayeweza kuwa mpinzani wa Diamond..Belle 9 sijui Darasa Aslay Mavoko hawajawahi kuwa mahasimu wa Diamond kimuzikiWe jiulize wasanii wangapi walishindanishwa na diamond sasa hivi wakowapi Kuna Belle 9, Darassa alivyotoa wimbo wake wa Mziki, Aslay, Richmavoko, Alikiba n.k angalia hawa wasanii walipo na alipo Diamond sasa hivi ndio utajua Diamond haitaji hashindanishwe ili apae kimziki bali hao wasanii ndio wanamuhitaji Diamond wafanye vizuri kimziki