badshah
Member
- Mar 16, 2013
- 51
- 32
DHANA YA UKEKETAJI
- Uondoaji wa ncha ya kisimi (The removal of the tip of the clitoris)
- Uondoaji wa Kisimi(clitoris) na Labia na ushonaji wa uke, kwa kuacha njia ndogo tu ya mkojo na damu ya hedhi. Mchakato huu hujulikana kama ufyataji (hali ya kufunga uke kwa bizimu/kushona kuzuia kujamiiana.) Infibulation.
- Maradhi ya mara kwa mara ya kibofu na njia za mkojo
- Uvimbe katika kibofu
- Ugumba
- Matatizo katika kujifungua hasa kumuua mtoto anayezaliwa kulingana na njia kubanwa na mishono ya ukeketwaji.
KWA MAKALA TOFAUTI TEMBELEA: Staryte - Education, Entertainment & Development - Elimu, Burudani na Maendeleo