Dhamira ya gazeti la tanzania daima ni nin hasa katika hili nan kawatuma

Chillipo

Member
Mar 27, 2012
37
6
Katika Gazeti la Jana la Tanzania Daima lilikuwa na maelezo kuhusu vurugu zilizotokea huko Zanzibar pamoja na picha mchanganyiko wa vurugu hizo lakin cha kustua na kuhuzunisha ni kufanya mambo kinyume na taaluma ya uandishi wa habari kwa kuweka picha ambayo haikutokea huko zanzibar je mnafanya kazi kwa maslahi ya nani? nini mnachofaidika nacho kwan picha hiyo ilipigwa mwaka juzi huko Morogoro na mwenye picha mwenyewe jana amejitokeza redion na kukiri kwa ulimi wake kuwa hajawahi kufika Zanzibar hata siku moja.Picha yenyewe imepewe namba mbili kijana kashika kitambaa ukurasa wa kwanza swali langu mnafanya haya mambo kwa kutumwa na nani nyuma yenu mbona kila siku nyie pekee yenu tu ndio mnaopata malalamiko na kesi kuhusu habari zenu.KIBANDA nilikuwa nakuamini sana ila ninaanza kupoteza iman na uadilifu wako kabisa.Igeni mfano wa Gazeti la Mwananchi, Raia Mwema etc
 
Mbona hiyo picha ilionekana hata katika magazeti mengine kama nipashe n.k. Uliyasoma yote?
 
Katika Gazeti la Jana la Tanzania Daima lilikuwa na maelezo kuhusu vurugu zilizotokea huko Zanzibar pamoja na picha mchanganyiko wa vurugu hizo lakin cha kustua na kuhuzunisha ni kufanya mambo kinyume na taaluma ya uandishi wa habari kwa kuweka picha ambayo haikutokea huko zanzibar je mnafanya kazi kwa maslahi ya nani? nini mnachofaidika nacho kwan picha hiyo ilipigwa mwaka juzi huko Morogoro na mwenye picha mwenyewe jana amejitokeza redion na kukiri kwa ulimi wake kuwa hajawahi kufika Zanzibar hata siku moja.Picha yenyewe imepewe namba mbili kijana kashika kitambaa ukurasa wa kwanza swali langu mnafanya haya mambo kwa kutumwa na nani nyuma yenu mbona kila siku nyie pekee yenu tu ndio mnaopata malalamiko na kesi kuhusu habari zenu.KIBANDA nilikuwa nakuamini sana ila ninaanza kupoteza iman na uadilifu wako kabisa.Igeni mfano wa Gazeti la Mwananchi, Raia Mwema etc
Hivi kweli kuna mtanzania anayesoma magazeti hajui TANZANIA DAIMA linafanyakazi kwa maslahi ya nani? Mbona wasomaji wa gazeti hili wanajulikana. Kma unataka kujua nchi inakwendaje, dunia inakwendaje, tuko wapi , tunakwenda wapi, tunapwswa kufanya nini, usitegemee mambo hayo utayakuta kwenye gazeti la Tanzania Daima na Mwanahalisi. Unaweza kulinunua gazeti hili ukathamani ulirudishe ulikolinunua. Mimi nashindwa kuelewa, hivi ni kweli kwamba kila mtanzania anachofurahia kwenye vyombo vya habari ni siasa? elimu, technolojia, afya, mahusiano, uchumi havina nafasi kwa Mtanzania?
 
Labda tuanze na wewe,
wewe umetumwa na nani?
Kwenye magazeti mengine hujaiona?
wewe taaluma ya habari umesomea?
 
Nashauri tusipoteze muda kushughulikia matatizo ya magazeti yetu, pamoja na mapungufu katika uandishi wetu ila ni kwelimatatizo makubwa yapo Zanzibar. Tutumie nguvu zetu zaidi kuyatatua matatizo yaliyopo Zanzibar hivisassa.
 
Ndugu acha chuki na Tanzania Daima, gazeti la nipashe lilikuwa na picha hiyo kubwa mbona hulisemi? Kama una hoja toa hoja bila kuegemea upande wowote
 
Katika Gazeti la Jana la Tanzania Daima lilikuwa na maelezo kuhusu vurugu zilizotokea huko Zanzibar pamoja na picha mchanganyiko wa vurugu hizo lakin cha kustua na kuhuzunisha ni kufanya mambo kinyume na taaluma ya uandishi wa habari kwa kuweka picha ambayo haikutokea huko zanzibar je mnafanya kazi kwa maslahi ya nani? nini mnachofaidika nacho kwan picha hiyo ilipigwa mwaka juzi huko Morogoro na mwenye picha mwenyewe jana amejitokeza redion na kukiri kwa ulimi wake kuwa hajawahi kufika Zanzibar hata siku moja.Picha yenyewe imepewe namba mbili kijana kashika kitambaa ukurasa wa kwanza swali langu mnafanya haya mambo kwa kutumwa na nani nyuma yenu mbona kila siku nyie pekee yenu tu ndio mnaopata malalamiko na kesi kuhusu habari zenu.KIBANDA nilikuwa nakuamini sana ila ninaanza kupoteza iman na uadilifu wako kabisa.Igeni mfano wa Gazeti la Mwananchi, Raia Mwema etc

Mwananchi picha yao ya mkutano wa CHADEMA jangwani uliiona?
 
Hivi kweli kuna mtanzania anayesoma magazeti hajui TANZANIA DAIMA linafanyakazi kwa maslahi ya nani? Mbona wasomaji wa gazeti hili wanajulikana. Kma unataka kujua nchi inakwendaje, dunia inakwendaje, tuko wapi , tunakwenda wapi, tunapwswa kufanya nini, usitegemee mambo hayo utayakuta kwenye gazeti la Tanzania Daima na Mwanahalisi. Unaweza kulinunua gazeti hili ukathamani ulirudishe ulikolinunua. Mimi nashindwa kuelewa, hivi ni kweli kwamba kila mtanzania anachofurahia kwenye vyombo vya habari ni siasa? elimu, technolojia, afya, mahusiano, uchumi havina nafasi kwa Mtanzania?

Once you see the gap,bridge that gap.....kwa kuwa umegundua udhaifu wa magazeti ya Tanzania anzisha la kwako....hapo utaona if your idea works or not,sio kulaumu tu wenzio....chukua hatua kama SHIGONGO.
 
mimi ndo maana nasomaga annuur na uhuru tu hayo mengine sina habari nayo.
kwa redio mimi ni imaan na uhuru fm.
 
Hivi kweli kuna mtanzania anayesoma magazeti hajui TANZANIA DAIMA linafanyakazi kwa maslahi ya nani? Mbona wasomaji wa gazeti hili wanajulikana. Kma unataka kujua nchi inakwendaje, dunia inakwendaje, tuko wapi , tunakwenda wapi, tunapwswa kufanya nini, usitegemee mambo hayo utayakuta kwenye gazeti la Tanzania Daima na Mwanahalisi. Unaweza kulinunua gazeti hili ukathamani ulirudishe ulikolinunua. Mimi nashindwa kuelewa, hivi ni kweli kwamba kila mtanzania anachofurahia kwenye vyombo vya habari ni siasa? elimu, technolojia, afya, mahusiano, uchumi havina nafasi kwa Mtanzania?

poleni sana . tanzania daima ni gazeti bomba sana. tangu nianze kulisoma sijawahi kosa nakala hata moja. mbona hamzungumzii magazeti mengine eg. mzalendo, tazama tanzania , uhuru na mengineo ambayo yanaendeshwa kwa ruzuku ya kodi zetu kisha habari yao ni za sisieeem kapanda ssem kashuka.
 
wewe ni mgeni hapa jamvini?

Nan aliyekumbia Kuwa Mwenyeji wa eneo ndio kujua kila kilichomo sehemu husika ukweli utabaki kuwa ukweli Edson sina nia mbaya na Tanzania Daima ila natoa kilichomo bila kujali ni mwenyeji au mgeni kana nan hajui kuwa Wanahabari wetu wanatabia za kushea habari so kama ni gabbage zote zinakuwa Gabbage tu
 
Hivi kweli kuna mtanzania anayesoma magazeti hajui TANZANIA DAIMA linafanyakazi kwa maslahi ya nani? Mbona wasomaji wa gazeti hili wanajulikana. Kma unataka kujua nchi inakwendaje, dunia inakwendaje, tuko wapi , tunakwenda wapi, tunapwswa kufanya nini, usitegemee mambo hayo utayakuta kwenye gazeti la Tanzania Daima na Mwanahalisi. Unaweza kulinunua gazeti hili ukathamani ulirudishe ulikolinunua. Mimi nashindwa kuelewa, hivi ni kweli kwamba kila mtanzania anachofurahia kwenye vyombo vya habari ni siasa? elimu, technolojia, afya, mahusiano, uchumi havina nafasi kwa Mtanzania?
ndugu c lazima gazet moja lihusihe nyanja zote hizo hata gazet linaweza likahusu siasa 2 na inakubalika ndio maana yanasajiliwa. mbona husemi kuhusu dimba, bingwa nk kuandika habari za michezo 2? mbona hata vituo vya redio na tv ni hvo hvo kuna tv za habari kama vile sky ,bbc nk. na kuna tv za burudani hzo ni mziki, filam nk. ww wa wapi hata huwez kutambua hili kama unataka habari za mahusiano kuna majarida yanayohusika na mambo hayo.
 
Back
Top Bottom