Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Dereva huyo kwa jina Leornard Kipsang waliibiwa shilingi milioni 3 baada ya kutiliwa dawa ya kupoteza fahamu bila kujua na mwanamke huyo.
Polisi hadi sasa wanatafuta mwanamke huyo anayeaminika kushirikiana na majambazi wengine kwenye uharifu huo.