blessedme
Member
- Nov 23, 2018
- 37
- 61
Hahaha. Next time, nitakuwa makini sana. Kusahau tumeumbiwa binadamu ujue. Ahsante kwa ushauri.We unajijua unatatizo, hafu huchukui hatua, au ulizani ni sawa na kupanda Daladala za Dar? Mi nimeongelea uzoefu wangu kuna watu wanapenda sana kula haswa mida ya asubh hao ndo huwa wasumbufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app