Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Kutokana na kujichanganya kwingi kwa bwana Mwigulu Nchemba kuhusu ni lini aliiripoti video ya Lwakatare na siku iliporekodiwa ukichunguza kwa makini utagundua Denis Msacky alikuwa awe chambo ili video ikitoka waunganishe ili kuiua CHADEMA lakini kwa vile mungu halali akawapiga na upofu vijana wa kazi badala ya kwenda kwa Denis wakaenda kwa Kibanda.
Video ilirekodiwa tarehe 28,29 Mwigulu akadai kupelekewa na kiongozi wa CHADEMA aliyechukizwa naomba wana JF muunganishe hiyo statement kurekodi leo asubuhi kiongozi wa CHADEMA aipate leoleo na kuchukizwa jioni aikimbize kwa Mwigulu na kesho saa moja na nusu Mwigulu awe nayo studio.
Ukiunganisha dots na jinsi Ludo alivyotekwa nae usiku uleule na kuvuliwa nguo na baadae kutumiwa 50000 tu utagundua kuwa alipewa adhabu baada ya kupoteza target na mchezo kuharibika.
Hapa nampa ndugu Denis Msacky ushauri wa bure kama mpaka leo hajaenda kanisani kutoa sadaka shukrani afanye hivyo haraka sana.
Nawasilisha.
Video ilirekodiwa tarehe 28,29 Mwigulu akadai kupelekewa na kiongozi wa CHADEMA aliyechukizwa naomba wana JF muunganishe hiyo statement kurekodi leo asubuhi kiongozi wa CHADEMA aipate leoleo na kuchukizwa jioni aikimbize kwa Mwigulu na kesho saa moja na nusu Mwigulu awe nayo studio.
Ukiunganisha dots na jinsi Ludo alivyotekwa nae usiku uleule na kuvuliwa nguo na baadae kutumiwa 50000 tu utagundua kuwa alipewa adhabu baada ya kupoteza target na mchezo kuharibika.
Hapa nampa ndugu Denis Msacky ushauri wa bure kama mpaka leo hajaenda kanisani kutoa sadaka shukrani afanye hivyo haraka sana.
Nawasilisha.