Kama utachukua deni lote la Tanzania (trilion 11) ukigawa na idadi ya watu (milion 40) basi kwa makadilio KILA MTANZANIA ANADENI LA shilling 300,000. Hata mtoto aliye zaliwa leo.....CCM OYEEEEEEEE
Haaaa!!! Ama kweli humu ndani ya Jf kuna vichwa vinavyochemka kwelikweli. Nashangaa kuna baadhi ya waTZ bado wanaisapoti ccm hivi mnataka muambiwe nini ili muamini kama ccm nchi imewashinda? Au ndo 2seme sikio la kufa huwa halisikii dawa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.