Kuwa km unavyojisikia na sisi tutakuwa the way we want to be lakini si kwa ushawishi kwa kuwa km wewe uliingia chaka si wote tutakuwa hivyo,taratibu kwa step mambo yatanyooka.
Mleta Uzi Yuko katika FOOLISH AGE ......... Sishangai sana hichi kipindi KINA challenge sana hasa katika maamuzi ya kuchagua uskilize nini na useme nini pole sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.