TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Jamani hili tatizo halijanitokea ila huwa najiuliza kama ikitokea Binti ambaye mtu unamfeel kupita kiasi siku anapokubali kula tunda na wewe halafu kufika ndani lahaula, jogoo linagoma kabisa kuwika bila sababu za msingi au labda kwa sababu ya uwoga. Na wakati akishaondoka tu jamaa anakuja juu na mihasira kibao mpaka unasikia maumivu.
Je ilishawahi kukutokea? au kama ikikutokea utafanyaje?
Manake kwa uzoefu wangu wa stori za vijiweni nimewahi kusikia kuwa hii hali hutokea sometimes.
Je ilishawahi kukutokea? au kama ikikutokea utafanyaje?
Manake kwa uzoefu wangu wa stori za vijiweni nimewahi kusikia kuwa hii hali hutokea sometimes.