Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Eti kauli hii ya DCI manumba kwamba mbunge wa arusha mjini hakuguswa na polisi yaani kupigwa kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari, isipokuwa ni propoganda za chadema tu.
pia Star tv waliporusha tukio lile kama kuwakumbusha watizamaji hata mimi sikuona sehemu ambayo mbunge yule alipata mkongoto bali nilimuona yeye akirusha ngumi kumpiga mkuu mmoja wa polisi. jee lipi liwe kweli?
na kama alipigwa manumba kwanini asipeleke malalamiko yake Polisi
source: star tv mjadala
pia Star tv waliporusha tukio lile kama kuwakumbusha watizamaji hata mimi sikuona sehemu ambayo mbunge yule alipata mkongoto bali nilimuona yeye akirusha ngumi kumpiga mkuu mmoja wa polisi. jee lipi liwe kweli?
na kama alipigwa manumba kwanini asipeleke malalamiko yake Polisi
source: star tv mjadala