DCI Manumba: mbunge wa arusha hakuguswa ni propaganda za Chadema tu

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
Eti kauli hii ya DCI manumba kwamba mbunge wa arusha mjini hakuguswa na polisi yaani kupigwa kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari, isipokuwa ni propoganda za chadema tu.
pia Star tv waliporusha tukio lile kama kuwakumbusha watizamaji hata mimi sikuona sehemu ambayo mbunge yule alipata mkongoto bali nilimuona yeye akirusha ngumi kumpiga mkuu mmoja wa polisi. jee lipi liwe kweli?
na kama alipigwa manumba kwanini asipeleke malalamiko yake Polisi

source: star tv mjadala
 
Eti kauli hii ya DCI manumba kwamba mbunge wa arusha mjini hakuguswa na polisi yaani kupigwa kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari, isipokuwa ni propoganda za chadema tu.
pia Star tv waliporusha tukio lile kama kuwakumbusha watizamaji hata mimi sikuona sehemu ambayo mbunge yule alipata mkongoto bali nilimuona yeye akirusha ngumi kumpiga mkuu mmoja wa polisi. jee lipi liwe kweli?

source: star tv mahojiano

Je kuna mtu aliyemwuliza huyo mbunge aliyepigwa? hizo source za mahojiano ya watu ambao hawakuwa kwenye tukio wala si wahusika haziaminiki. Mbunge bado yupo kwanini hakuna anayetuambia kuwa ameongea na mhusika na akatupatia ukweli?
 
Eti kauli hii ya DCI manumba kwamba mbunge wa arusha mjini hakuguswa na polisi yaani kupigwa kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari, isipokuwa ni propoganda za chadema tu.
pia Star tv waliporusha tukio lile kama kuwakumbusha watizamaji hata mimi sikuona sehemu ambayo mbunge yule alipata mkongoto bali nilimuona yeye akirusha ngumi kumpiga mkuu mmoja wa polisi. jee lipi liwe kweli?
na kama alipigwa manumba kwanini asipeleke malalamiko yake Polisi

source: star tv mjadala

Ulitegemea DCI aseme kwamba Lema alipata kichapo? Watanzania bado hatuna hulka ya kukubali makosa. Vyombo vyetu vya dola vipo kwa ajili ya watawala na si wananchi. Unapotamka kuwa lema hakuguswa unatukana wengi sana nakuchafua taaluma za watu wakiwemo madaktari waliopumzisha hospital
 
Ulitegemea DCI aseme kwamba Lema alipata kichapo? Watanzania bado hatuna hulka ya kukubali makosa. Vyombo vyetu vya dola vipo kwa ajili ya watawala na si wananchi. Unapotamka kuwa lema hakuguswa unatukana wengi sana nakuchafua taaluma za watu wakiwemo madaktari waliopumzisha hospital

We are thinking in the same boat..madaktari waliomlaza na wao walifanya propaganda?? Mt Meru si hospitali kuu ya Mkoa??..Manumba nilikuwa nakuheshimu ila nimekushusha hadhi sana kwa hii kauli ya kibazazi.
 
Eti kauli hii ya DCI manumba kwamba mbunge wa arusha mjini hakuguswa na polisi yaani kupigwa kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari, isipokuwa ni propoganda za chadema tu.
pia Star tv waliporusha tukio lile kama kuwakumbusha watizamaji hata mimi sikuona sehemu ambayo mbunge yule alipata mkongoto bali nilimuona yeye akirusha ngumi kumpiga mkuu mmoja wa polisi. jee lipi liwe kweli?
na kama alipigwa manumba kwanini asipeleke malalamiko yake Polisi

source: star tv mjadala

Nani kasema kwamba monopoly ya kufanya propaganda ni ya CCM pekee??? Vyama vingine navyo vina haki pia kufanya propaganda!!!
 
Eti kauli hii ya DCI manumba kwamba mbunge wa arusha mjini hakuguswa na polisi yaani kupigwa kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari, isipokuwa ni propoganda za chadema tu.
pia Star tv waliporusha tukio lile kama kuwakumbusha watizamaji hata mimi sikuona sehemu ambayo mbunge yule alipata mkongoto bali nilimuona yeye akirusha ngumi kumpiga mkuu mmoja wa polisi. jee lipi liwe kweli?
na kama alipigwa manumba kwanini asipeleke malalamiko yake Polisi

source: star tv mjadala
SOMA HAPA-POLISI NI WALEWALE CCM TU-http://www.mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/7550-mbunge-chadema-apigwa-na-polisi.html
 
Kati ya Manumba aliyoko Dar es salaam na RPC aliyo Arusha tukio lilipotokea tumwamini nana? Maana RPC wa Arusha alidhibitisha kuwa Mlema alipigwa kutokana na kukahidi maagizo ya polisi.
 
Hakyanani, kila kitu mnachakachua. Itafika zamu yenu muanze kujichakachua wenyewe!
 
unaweza ukakamatwa kwa nguvu kwa kukiuka amri halali ya kipolisi ya kujisalimisha na kutulia.....halafu wewe ukaleta vurugu....pale hupigwi bali unapunguzwa nguvu za kukaidi amri halali
 
Ni jambo la aibu kwamba DCI Manumba na RPC wa Arusha hawakuwasiliana kabla ya Manumba kutunga hadithi yake hii eti Mbunge wa Arusha hakupigwa na Polisi.

Sisi wakazi wa Arusha tumemsikia huyu RPC wetu akitamka kwamba Lema anachochea vurugu na tuliona Polisi waliopelekwa ukumbini mwa Halmashauri ya Manispaa wakimpiga Mbunge wetu. Tulimwona Mbunge wetu akiwa Hospitali ya Mkoa, Mt. Meru, akitibiwa. Hata Mganga wa hiyo hospitali alisema Lema amepigwa lakini anapata unafuu. Sisi tuliona ktk TV, polisi wakimkwida Lema.

Sasa kama baada ya haya yote, Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Taifa, anatamka "Mbunge wa Arusha hakuguswa; ni propaganda za Chadema tu" sisi wananchi tutakuwa na imani na Polisi? Ni lazima Polisi waache ushabiki wao kwa CCM, wasibebe chama chochote cha siasa, kama wananuia kweli kutekeleza wajibu wao wa kuhakikisha haki na usawa kwa wananchi wote.

This country will degenerate into chaos and violent conflagration, if the Police Force will continue with this kind of bias and one-sidedness. Woe unto us Tanzanians, if urgent steps are not taken to arrest this trend.
 
Polisi wenyewe wamekiri kumupiga kawa maelezo kwamba wanaleta utulivu
polisi wakumbuke kwamba pasipo haki hapana amani
kama mtu asiye sitahili haki anapewa nayule anayesitahili ananyimwa mbele hiko ni hatari kwa poilisi!!!!!
 
Back
Top Bottom