Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,091
acha tu Video
Sema mkuu wa wilaya kwa chama cha mapinduzi, "sio likuu la wilaya la CCM"
Kungekuwa na video yake nadhani tungeweza kulichangia kwa ufanisi zaidi. Ila makosa mengine ya watoto husababishwa na wazaze...watoto wanaviburi kutokana na malezi ya wazazi wao
hicho kijiji ni cha Wasandawi Mbunge J Mkamia
ni wabishi kuliko Warangi na hawahusiki kabisa na watoto wao
maadili hakuna kwa vile barabara ya lami ndio imewekwa na haina miezi mitatu lazima wanaona maajabu lazima watoto wajishindanishwa mawe na mwendo kasi wa Land Cruiser
kwa hiyo Mkuu wa Wilaya ya Chemba (CCM) atalazimika kuuweka ustaarabu mojawapo ndiyo hiyo maisha ya kuishi na manati kwani ndipo jirani na wanapouza vindege km mishkaki