Bigbon
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 600
- 729
Ukumbuki kuwa kuna mtu hapa Tanzania alishawahi kuuwa Mkuu wa mkoa wa Iringa... Tuelewe cheo ni dhamana....Tufate utawala wa kisheria...Kama yeye ndio mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ameshindwa kutuliza hisia zake ...Kuna shida sana TanzaniaUnao huo uwezo wakumfanya kitu mbaya DC au kwa kuwa uko nyuma ya keyboard??