R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
[h=5]DC aamuru waliosababisha kipigo cha askari wakamatwe: MKUU wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, Christina Mndeme amewataka maofisa watendaji wa vijiji vya Kata ya Gendabi kuhakikisha wanawakamata watu waliohusika na vurugu iliyosababisha kupigwa kwa askari wa Magereza wa kituo cha Gidagamond mwishoni mwawiki[/h]