William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Hiyo habari ilitoka idara ya serikali wala haikuandikwa kama udaku.
Mkuu Heshima tena, mimi nilifikiri kuwa tupo hapa JF kwa sababu hatuamini habari zinazotolewa na serikali na media outlets zake, nilidhani kuwa siku zote kazi yetu muhimu hapa ni kuweka record straight za driveby media ya bongo, anyways nimekusikia mkuu tuendelee kukata ishus taifa liko njia panda!!