Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,404
- 7,311
Hakika umenenaAache taratibu zifuate mkondo wake. Angekuwa anathamini brands and names, angesha hakikisha Ray C na Chid Benz (walioharibu brands and names zao kupitia madawa) wanasaidiwa kwa kuwakamata wale wanaowauzia.