payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Nafikiri dawa ya Ukimwi ikipatikana:
- Kuna baadhi ya NGOs za Kitaifa na Kimataifa zitakufa....na watu wengi watapoteza ajira
- Ma-handsome boys na ma-sister duh! waliokuwa wakinyooshewa vidole kwa sababu za KaUgonjwa watarudi kwenye Chati
- Vitendo vya ubakaji nahisi vitaongezeka .....sababu watu watakuwa hawana hofu tena
- Viwanda vya kondom vita-dorora .....mauzo yatashuka kwa kasi ya ajabu!
- Watumishi wa Mungu( Mapadri, Maaskofu, Mashehe) ....waliokuwa wanahubiri kwamba dawa ya Ukimwi haitapatikana kwa sababu zama hizi ni za mwisho sijui wataficha wapi nyuso zao!