Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Habari zenu wakuu...
Wadau inakera sana mtu unaye muamini anavyoku dhulumu pesa ulioihangaikia kuitafuta kwa shida na uchungu sana..unamkopa kwa lengo la kumsaidia shida yake na kiustaarabu unampatia bila masharti magumu (ushahidi) yet bado anakuzunguka na kupotea nayo mazima. Another case mtu mwngne unamuweka akusimamie biashara yako....siku ya siku anatoweka na kiwango kikubwa cha fedha au kukuibia kinyemela inakua in a certain situation huna ushahidi wa kumfungulia mashtaka.....Kweli hii tabia inakera na inarudisha watu nyuma kimaendeleo. Nilikua naomba ushauri na mawazo yenu wakuu je, mtu wa namna hii tuna deal (shughulika) nae vipi ?? Maana kwa vyovyote vile pesa lazima irudi...vinginevyo itakua ni hasara kubwa na muda umepotea bure ukicheck wengine tuna majukumu mengi sana !!
Ahsanteni sana !!
Wadau inakera sana mtu unaye muamini anavyoku dhulumu pesa ulioihangaikia kuitafuta kwa shida na uchungu sana..unamkopa kwa lengo la kumsaidia shida yake na kiustaarabu unampatia bila masharti magumu (ushahidi) yet bado anakuzunguka na kupotea nayo mazima. Another case mtu mwngne unamuweka akusimamie biashara yako....siku ya siku anatoweka na kiwango kikubwa cha fedha au kukuibia kinyemela inakua in a certain situation huna ushahidi wa kumfungulia mashtaka.....Kweli hii tabia inakera na inarudisha watu nyuma kimaendeleo. Nilikua naomba ushauri na mawazo yenu wakuu je, mtu wa namna hii tuna deal (shughulika) nae vipi ?? Maana kwa vyovyote vile pesa lazima irudi...vinginevyo itakua ni hasara kubwa na muda umepotea bure ukicheck wengine tuna majukumu mengi sana !!
Ahsanteni sana !!