Gerald Robert
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 337
- 219
Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania aliwahi kuwaambia wafanyabiashara kwmba...
Kama unajuwa kwamba unadaiwa na serikali ni bora ukalipe mwenyewe, natoa siku 7 kwa wadaiwa wote kulipa madeni yao maana dawa ya deni ni kulipa tu (mwisho wa kunuku)
BWANA YESU NAYE ALITUFUNDISHA HIVI
Mathayo 5:25-26
[25]Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani.
[26]Amin, nakuambia, Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho.
DAWA YA DENI NI KULIPA TU, HAKUNA NAMNA.
[HASHTAG]#jazaujazwe[/HASHTAG]
Kama unajuwa kwamba unadaiwa na serikali ni bora ukalipe mwenyewe, natoa siku 7 kwa wadaiwa wote kulipa madeni yao maana dawa ya deni ni kulipa tu (mwisho wa kunuku)
BWANA YESU NAYE ALITUFUNDISHA HIVI
Mathayo 5:25-26
[25]Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani.
[26]Amin, nakuambia, Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho.
DAWA YA DENI NI KULIPA TU, HAKUNA NAMNA.
[HASHTAG]#jazaujazwe[/HASHTAG]