Mpigie simu , mwambie umesamehe au mwombe akusamehe hata kama yeye ndoo mkosaji.
Haitasaidia kukaa nalo moyoni jambo lisilo leta faida
usiku mwema
Mpigie simu , mwambie umesamehe au mwombe akusamehe hata kama yeye ndoo mkosaji.
Haitasaidia kukaa nalo moyoni jambo lisilo leta faida
usiku mwema
Wewe unaye ombwa msamaha ndo unatakiwa udhamirie kumsamehe.
Ni sawa,lakini lazima iwepo RIDHAA YA MOYO!Lakini kama samahani yenyewe haina chembe ya dhati ya moyo halitoki!Litaendelea kubaki tu kwenye chemba za moyo.
hakuna amani inayoshinda kusamehe...samehe mara saba sabini
Mpigie simu , mwambie umesamehe au mwombe akusamehe hata kama yeye ndoo mkosaji.
Haitasaidia kukaa nalo moyoni jambo lisilo leta faida
usiku mwema
nimebarikiwa hilo..huwa nasamehe kabla ya kuombwa msamaha.
ebu tupe mfano halisi wa mammbo yasiyo sameheka
Mhhhh!!! Ngoja nilete vipimo vya TBS kuthibitishamm huwa naumia sana lakini akija ku regret nitamsamehe ..huwa sipendi dharau ...na nikipenda nimependa ..
mkuu yapo mengi tu hasa yahusuyo mapenzi.ebu angalia yaliyonikuta mimi.NImeoa miaka kama 2 hivi iliyopita.kwa kuwa binti alikuwa wa kilikole na alikataa kabisa nisiTBS na zaidi marafiki zangu kama amegoma ni bora nisubiri baada ya harusi.basi nikaoa ila siku ya kwanza sikupata kitu maana alilala na shangazi yake kwa madai kuwa ni mila zao.basi nikapiga moyo konde kwani nilishavumilia zaidi ya mwaka na nusu sembuse siku moja!ebu tupe mfano halisi wa mammbo yasiyo sameheka
mm huwa naumia sana lakini akija ku regret nitamsamehe ..huwa sipendi dharau ...na nikipenda nimependa ..
mkuu yapo mengi tu hasa yahusuyo mapenzi.ebu angalia yaliyonikuta mimi.NImeoa miaka kama 2 hivi iliyopita.kwa kuwa binti alikuwa wa kilikole na alikataa kabisa nisiTBS na zaidi marafiki zangu kama amegoma ni bora nisubiri baada ya harusi.basi nikaoa ila siku ya kwanza sikupata kitu maana alilala na shangazi yake kwa madai kuwa ni mila zao.basi nikapiga moyo konde kwani nilishavumilia zaidi ya mwaka na nusu sembuse siku moja!
kesho yake mambo yakawa shwari lakini akawa analia sana mpaka nikamuuliza kwani vp? akasema anaumia sana kwani alikuwa bikra.basi mzee baada ya mechi ikabidi hata mashuka tubadili maana damu kama kawa! kesho yake asubuhi nikaona vinyama vyembamba juu ya rpg yangu.nikauliza vp tena? akaniambia nilimchubua sana usiku! machare yakanicheza kama nikamtafuta sista yangu mtaalam wa mambo ya town.akaniambia hakuna kitu hapo nimepelekwa town na kwamba hiyo ni made in beijing! du! loh ikaniluka kweli nikaamua kujifanya FBI kusaka data za huyu wife kabla hatujakutana naye.basi nikapata msada kutoka juu na chini nikapata data kibao chachu kuliko maelezo, mpaka bwana wake wa mwisho.niakamua kumtolea uvivu na kumuuliza baadhi akakubali na zingine akazipotezea.kifupi ni kwamba alinihadaa.amenisihi sana nimsamehe kwani tuna mtoto mchanga.kwa kweli roho inaniuma sana na nimeshindwa at teast kusahau na ninatamani tuachane ila kwetu wakristo tena kwa ndoa ya kanisani kuachana au kupeleka maombi ya kuachana kwa mchungaji kama vile kupiga penalti kwa kisigino pealti ya mwisho na ya ushindi mechi ya fainali! hapo kusamehe kunataka uwe na moyo wa mwendawazimu.
Mhhhh!!! Ngoja nilete vipimo vya TBS kuthibitisha