Dawa ni kusamehe

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
Mpigie simu , mwambie umesamehe au mwombe akusamehe hata kama yeye ndoo mkosaji.

Haitasaidia kukaa nalo moyoni jambo lisilo leta faida

usiku mwema
 
Mpigie simu , mwambie umesamehe au mwombe akusamehe hata kama yeye ndoo mkosaji.

Haitasaidia kukaa nalo moyoni jambo lisilo leta faida

usiku mwema

Ni sawa,lakini lazima iwepo RIDHAA YA MOYO!Lakini kama samahani yenyewe haina chembe ya dhati ya moyo halitoki!Litaendelea kubaki tu kwenye chemba za moyo.
 
Ni sawa,lakini lazima iwepo RIDHAA YA MOYO!Lakini kama samahani yenyewe haina chembe ya dhati ya moyo halitoki!Litaendelea kubaki tu kwenye chemba za moyo.

Wewe unaye ombwa msamaha ndo unatakiwa udhamirie kumsamehe.
 
Mpigie simu , mwambie umesamehe au mwombe akusamehe hata kama yeye ndoo mkosaji.

Haitasaidia kukaa nalo moyoni jambo lisilo leta faida

usiku mwema

Wewe unaye ombwa msamaha ndo unatakiwa udhamirie kumsamehe.

Wote,muombaji awe na dhamira ya dhati na mwombwaji nae pia awe na dhamira ya dhati,yaani DHATI kwa DHATI.Tatizo linabaki palepale.MOYO!Moyo hauaminiki kabisaaa.Moyo unaweza ukaudanganya MDOMO kwamba"toa tamko la kuomba samahani" na mdomo kwa kihelehele chake ukatoa tamko kumbe moyo wenyewe wala hauko radhi.
 
nimebarikiwa hilo..huwa nasamehe kabla ya kuombwa msamaha.
Ni sawa,lakini lazima iwepo RIDHAA YA MOYO!Lakini kama samahani yenyewe haina chembe ya dhati ya moyo halitoki!Litaendelea kubaki tu kwenye chemba za moyo.
 
Mpigie simu , mwambie umesamehe au mwombe akusamehe hata kama yeye ndoo mkosaji.

Haitasaidia kukaa nalo moyoni jambo lisilo leta faida

usiku mwema

Soma hii Signature ya SMU:

Apologizing: does not always mean you are wrong and the other person is right. It just means you value your relationship more than your ego.
 
mm huwa naumia sana lakini akija ku regret nitamsamehe ..huwa sipendi dharau ...na nikipenda nimependa ..
 
ebu tupe mfano halisi wa mammbo yasiyo sameheka
mkuu yapo mengi tu hasa yahusuyo mapenzi.ebu angalia yaliyonikuta mimi.NImeoa miaka kama 2 hivi iliyopita.kwa kuwa binti alikuwa wa kilikole na alikataa kabisa nisiTBS na zaidi marafiki zangu kama amegoma ni bora nisubiri baada ya harusi.basi nikaoa ila siku ya kwanza sikupata kitu maana alilala na shangazi yake kwa madai kuwa ni mila zao.basi nikapiga moyo konde kwani nilishavumilia zaidi ya mwaka na nusu sembuse siku moja!
kesho yake mambo yakawa shwari lakini akawa analia sana mpaka nikamuuliza kwani vp? akasema anaumia sana kwani alikuwa bikra.basi mzee baada ya mechi ikabidi hata mashuka tubadili maana damu kama kawa! kesho yake asubuhi nikaona vinyama vyembamba juu ya rpg yangu.nikauliza vp tena? akaniambia nilimchubua sana usiku! machare yakanicheza kama nikamtafuta sista yangu mtaalam wa mambo ya town.akaniambia hakuna kitu hapo nimepelekwa town na kwamba hiyo ni made in beijing! du! loh ikaniluka kweli nikaamua kujifanya FBI kusaka data za huyu wife kabla hatujakutana naye.basi nikapata msada kutoka juu na chini nikapata data kibao chachu kuliko maelezo, mpaka bwana wake wa mwisho.niakamua kumtolea uvivu na kumuuliza baadhi akakubali na zingine akazipotezea.kifupi ni kwamba alinihadaa.amenisihi sana nimsamehe kwani tuna mtoto mchanga.kwa kweli roho inaniuma sana na nimeshindwa at teast kusahau na ninatamani tuachane ila kwetu wakristo tena kwa ndoa ya kanisani kuachana au kupeleka maombi ya kuachana kwa mchungaji kama vile kupiga penalti kwa kisigino pealti ya mwisho na ya ushindi mechi ya fainali! hapo kusamehe kunataka uwe na moyo wa mwendawazimu.
 
mkuu yapo mengi tu hasa yahusuyo mapenzi.ebu angalia yaliyonikuta mimi.NImeoa miaka kama 2 hivi iliyopita.kwa kuwa binti alikuwa wa kilikole na alikataa kabisa nisiTBS na zaidi marafiki zangu kama amegoma ni bora nisubiri baada ya harusi.basi nikaoa ila siku ya kwanza sikupata kitu maana alilala na shangazi yake kwa madai kuwa ni mila zao.basi nikapiga moyo konde kwani nilishavumilia zaidi ya mwaka na nusu sembuse siku moja!
kesho yake mambo yakawa shwari lakini akawa analia sana mpaka nikamuuliza kwani vp? akasema anaumia sana kwani alikuwa bikra.basi mzee baada ya mechi ikabidi hata mashuka tubadili maana damu kama kawa! kesho yake asubuhi nikaona vinyama vyembamba juu ya rpg yangu.nikauliza vp tena? akaniambia nilimchubua sana usiku! machare yakanicheza kama nikamtafuta sista yangu mtaalam wa mambo ya town.akaniambia hakuna kitu hapo nimepelekwa town na kwamba hiyo ni made in beijing! du! loh ikaniluka kweli nikaamua kujifanya FBI kusaka data za huyu wife kabla hatujakutana naye.basi nikapata msada kutoka juu na chini nikapata data kibao chachu kuliko maelezo, mpaka bwana wake wa mwisho.niakamua kumtolea uvivu na kumuuliza baadhi akakubali na zingine akazipotezea.kifupi ni kwamba alinihadaa.amenisihi sana nimsamehe kwani tuna mtoto mchanga.kwa kweli roho inaniuma sana na nimeshindwa at teast kusahau na ninatamani tuachane ila kwetu wakristo tena kwa ndoa ya kanisani kuachana au kupeleka maombi ya kuachana kwa mchungaji kama vile kupiga penalti kwa kisigino pealti ya mwisho na ya ushindi mechi ya fainali! hapo kusamehe kunataka uwe na moyo wa mwendawazimu.

If you keep on judging people, u'll not get time to love them(MOTHER THERESA)!!! Umeshajua alikudanganya na hiyo ndo tabia ya kiumbe anaeitwa mwanadamu. Usipoteze muda kuendelea kumjaji kwa kosa lake ambalo utaliona ni kubwa mno, mwishoe upendo wako utachuja!! Mpe msamaha wa dhati na maisha yaendelee kwa amani ya roho, hata kama hutolisahau hilo kosa ila utaliona ni dogo na ni la kawaida!!!
 
Kusamehe katika maisha ni kitu muhimu sana na ukiamua kusamehe basi usamehe 100% na siyo kusamehe nusu nusu ili isije siku za usoni tena ukazusha jambo ambalo ulishasamehe, "Unakumbuka mwezi fulani, ulifanya jambo hili ambalo liliniumiza sana."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom