Nunua malimao kata vipande 2 kisha asubuhi baada ya kuoga jisugulie sehemu yenye fangasi, fanya hivyo kila unapoogaWanaJf naombeni ushauri je ni dawa hani Nzuri ya kutibu Fangas sehemu za Siri ? Nimeshatumia dawa lakin naona mambo hayakai sawa ... Naombeni ushauri View attachment 1959652
Dettol sio dawa ya fungus tafadhali.Ni Kali lakini ndo kiboko yake hyo ukivumilia n sekunde tuu maumivu Ila baada ya hapo utakuwa umejitibu.
Tafuta Dettol ya maji Ile chupa ya kuvunjika chukua hyo paka kiasi tuu vile utavyoona kila unapooga Yan asubuh na jion naamini utaanza kesho 2-10-2021 nakuomba 5-10-2021 njoo utupe mrejesho.
Azuma big no mpenzi,haitibu fungus.Nlkuwa nasumbuliwa na fungus kwa kpind krefu.... miez kama mnne nyuma nltumia dawa azuma.. kuna gonjwa nlkutana nalo katk miangaiko ya kumpatia bwana mkubwa chakula chake...
Nlpo kunywa iliondoa nafangus zote zlzontesa takriban Miaka 10...
Nilkunywa doz mbili kwa kuunganisha
Yaan iliisha ya kwanza nkaenda kununua nyingine ad sasa sina kabisa fungus
Hiv ndivo nlivyopona fungus... unaweza ukajarbu na ww..kama itakusaidia
Dada unajua jinsia ya mleta mada? Mbona kama unamuuzia product za kusafisha kwa shangazi? Alafu hizo ni kwa ajili ya hygiene tu sio indicated kwa matibabu...Tumia hii hapa ni kiboko…
Wanaohitaji wanione kwa namba 0767503500 niwaelekeze pa kuipata…
Inapatikana mikoa zaidi ya 8 nchi nzima
View attachment 1959770
Kwangu mm ndio dawa ya mwisho nilkunywa na imeondoa kila k2 imenponya...Azuma big no mpenzi,haitibu fungus.
Basi haikuwa fungus hiyo...vi vitu watu wengi wanachanya.,mtu anawezakwambia ana fungus lakini ukiangalia unaona ni ugonjwa wa zinaa.Kwangu mm ndio dawa ya mwisho nilkunywa na imeondoa kila k2 imenponya...
Pole sana mkuu,hiyo dawa uliyoweka kwenye picha ni steroid haitibu fungus, actually hua haishauriwi kutumia steroid kama una fungus.Kama una uhakika ni fungus kanunue Terbinafine cream upake asubuh na jioni baada ya kuoga.Hakikisha unavaa nguo za ndani safi wakati wote,hakikisha taulo lako ni safi,hakikisha unavaa nguo za ndani zilizokauka vizuri na taulo yako uwe unaanika mara baada ya kutumia...ukitumia hiyo dawa ukipata nafuu usiache ghafla,ongeza angalau siku nne mbele za kupaka hata kama utaona tatizo halipo.
Kapime vvu na ukipata majibu fanyia kazi. Sio mwisho wa maishaWanaJf naombeni ushauri je ni dawa hani Nzuri ya kutibu Fangas sehemu za Siri ? Nimeshatumia dawa lakin naona mambo hayakai sawa ... Naombeni ushauri View attachment 1959652
Wacha mchezo wewe hiyo hata ukiwa huna inakukarabati itakuwa kwa mdau huyu utakuwa kama unabanika bandama HAHAHA🤣🤣🤣Ni Kali lakini ndo kiboko yake hyo ukivumilia n sekunde tuu maumivu Ila baada ya hapo utakuwa umejitibu.
Tafuta Dettol ya maji Ile chupa ya kuvunjika chukua hyo paka kiasi tuu vile utavyoona kila unapooga Yan asubuh na jion naamini utaanza kesho 2-10-2021 nakuomba 5-10-2021 njoo utupe mrejesho.
Yes,hii inafaa sana kwa fungus,kwa mtu ambaye hana uhakika sana na ugonjwa wa ngozi alionao hii ndio bora zaidi sababu ina mchanganyiko wa dawa tatu,dawa ya fungus, dawa ya allergy na dawa ya kuua bacteria.Lakini ukilinganisha dawa ya fungus iliyowekwa kwenye mchanganyiko huo peke ake dhidi ya Terbinafine.Safi sana mkuu,, upo vzr....
Vp kuhusu hii dawa chini inafaa kwaajili ya fungus ? Na je kama inafaa, ubora wake dhidi ya Terbinafine cream upoje ?
View attachment 1959811