Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Wyatt na Ndjabu mna go too far nimefatilia huu uzi tangu mwanzo mpka hapa. Ingawa Uzi ulihama toka kwa William lakini ulikuwa constructive hasa argument za Curry.
Both Ndabu na Wyatt mna hoja nzuri za kujenga lakini hamkumaliza vizuri please mnaweza kudabete na pia kukubali kutofautiana. Nilipenda Wyatt alisema ana resentment na Mosha. Lakini bado aliendelea kujadili kama mtu mwenyeufahamu na biashara.
All in all you are both better than this.
 
Mkuu usibishe,katika nchi zetu.

Watu wote ambao hawajaenda shule hua wanapenda kuuza mafuta ya uchuuzi kwenye sheli,malori,bureau de change,hoteli,real estate za kishamba,etc..Hiyo ndio trend yao!

Kuhusu Lemutuz kumuharibia biashara,kuna mtu alitoa hoja nzuri hapo juu,kua,Mtu mmoja kama Lemutuz hawezi vuruga kampuni kiasi hicho kwa mfanyabiashara "shupavu" (supposedly) kama Mosha eti ashindwe kuiendesha?Ni uongo!...Nilichosikia,Lemutuz alipewa share 0.0001% which is so small hata kwenye board meetings hawezi kuwepo.

Tukubaliane,Mosha hili limemshinda maana ni technical enterprise,yeye amezoea biashara zisizotumia akili kama malori ambayo infact ndio yupo huko!

Mosha has been exposed kua ni very mediocre businessman for real!

Yaani Swahili Media of which u can run by phone from home,imemshinda?

Halafu eti lawama anatupiwa kilaza kama Lemutuz eti amesababisha biashara ikafa,is Lemutuz this powerful?No wayyyyy!
Mkuu umesharun any business? Bureau de change ni biashara ya wasio na akili? Hata manufacturing state of art kikubwa ni mtaji. Ofcourse know how utaajiri. Hata Mengi hakuwa amesomea journalism alipoanza na newspapers etc. kampuni zake pia kikubwa ni mtaji. Umesema mengi sahihi lakini naona kama kuna upofu flani uliosababishwa na extreme hate so to speak.
 
34284481_948841185298280_5557511200817807360_n.jpg


- Thank U wewe piga kelele sisi tunaruka na ndege tunaofanana nao kwa akili, pole sana ila hapa mjini kila mtu hula kwa urefu wa kamba yake!

le Mutuz Superbrand
Hufanani Akili na mzee mengi bali huo ni mwendelezo wa kujipendekeza kwa huyo mzee baada ya kutumwa na Maliyamungu Bashite kumbembeleza wamalize tofauti zao, wewe unakula kwa urefu wa kamba iliyowafunga chadema mnakula pesa za Umma, pesa za walipa kwa kazi ya kudidimiza Demokrasia na kufuta mfumo wa vyama vingi ili mrejeshe mfumo wa chama kimoja
 
34284481_948841185298280_5557511200817807360_n.jpg


- Leo nilienda kuongea business na Gwiji wa Business, Chairman Mengi what a productive meeting U know hahahahaha!

le Mutuz
Ulienda kuongea Busness ipi? Hujui businesses kilichokupeleka huko ni Umbea , kujipendekeza pia kumbembeleza mzee mengi aanze kumkubali Maliyamungu idd Amin Bashite, huna business unajua zaidi ya kukariri business za Wachina ukaenda kuzuga na kumhadaa mzee mengi kisha ukachomekea yako ya ajabu ajabu na hovyo kama kawaida yako.
 
Hufanani Akili na mzee mengi bali huo ni mwendelezo wa kujipendekeza kwa huyo mzee baada ya kutumwa na Maliyamungu Bashite kumbembeleza wamalize tofauti zao, wewe unakula kwa urefu wa kamba iliyowafunga chadema mnakula pesa za Umma, pesa za walipa kwa kazi ya kudidimiza Demokrasia na kufuta mfumo wa vyama vingi ili mrejeshe mfumo wa chama kimoja

- Hahahahaha tunaita kelele za mlango, pole sana kwenye maisha kila mmoja wetu hula kwa urefu wa kamba yake, kamba yako imesihia hapo ulipo kutumia majina ya bandia kutukana usowajua na wanaokupita kimaisha, hahahahaha!

le Mutuz Superbrand
 
Niliishi nae kwa kipindi kirefu hapa Marekani na watanzania wote walikuwa wakimwita kubwa jinga toka enzi hizo mpaka sasa.

- Hahaha MArekani mimi nilikuwa najisomesha College wao wanalinda usiku na kulea matahira halafu unasema ninafanana nao? wao wamebaki mimi nimerudi mwendo ni ule ule hahahahaha pole sana!

le Mutuz
 
Mkuu umesharun any business? Bureau de change ni biashara ya wasio na akili? Hata manufacturing state of art kikubwa ni mtaji. Ofcourse know how utaajiri. Hata Mengi hakuwa amesomea journalism alipoanza na newspapers etc. kampuni zake pia kikubwa ni mtaji. Umesema mengi sahihi lakini naona kama kuna upofu flani uliosababishwa na extreme hate si to speak.

Mkuu hapo umemaliza.
 
Huyu jamaa kwa jinsi alivyo na maadui, anafanya matusi kweli make akifanya matusi afu akapitiwa na usingizi, kurekodiwa kupo njenje na picha ni zitakuwa dili.
 
Lingeacha mambo ya kitoto toto na umama umama lingekuwa mbali sana kwasasa.. Yaani yeye maisha anayatazama vais verse kwamba umri unarudi nyuma badala ya kwenda mbele.. Saivi hata wajukuu zake akina Millard Ayo wako mbali kisocial media lkn hawafanyi utoto anao fanya.. (Agemate yake sasa ni akina Harmorapa, Harmonise, Shetta, Nandy, Alslay n.k)
Jf buana. Kuna watu mnatusaidia sana kutoa stress na vyuma kukaza

Yaaani Le kokobanga agemate wa hamorapa?
 
Biashara yeyote inayotaka technical know-how

Kama ya media,engineering,technology,innovation,manufacturing,consulting,law,education,medical,banking na kwa mbali construction...

Mosha hakatizi,atatia aibu...ndio maana katia aibu kwenye Swahili Media!

Karusha mguu mtu chali kauza!....Wakati Tido ana-run huo upuuzi kwa simu akiwa anakunywa kahawa nyumbani!...

Kwa haraka haraka tu,naona Mosha hana knack of identifying professional talent na kuwasimamia,hawezi...ni mpuuzi mno to do that!

Yeye asimamie madereva wake,aweke tracking kwenye magari na matanki ya magari wasimuibie mafuta ya wateja wakati anayapeleka DRC....

Ni simple,alichukua hela benki,kanunua magari baada ya kupata mkataba wa Kobil...ndio anakimbizana na magari,na yana insurance,yakianguka anarudishiwa mengine....

Hapo ni asali Kobil wasimnyang'anye mkataba maana atakua mchimba chumvi mzoefu.

Ana nini kingine?Bureau De Change?Sheli?Magari yameandikwa majina yake?Nigga puliiiiz....Who cares?
Ila hapa unachemka mzee, hebu tuambie wewe 'mwenye akili' umemzidi nini Mosha?
 
- Hahaha MArekani mimi nilikuwa najisomesha College wao wanalinda usiku na kulea matahira halafu unasema ninafanana nao? wao wamebaki mimi nimerudi mwendo ni ule ule hahahahaha pole sana!

le Mutuz
hahahahaha..eti hii nayo ni comment inayotolewa na KING OF ALL SOCIAL MEDIA NETWORKS. Above 54yrs old man, Msomi, mtu anaeijua vyema dunia ati.. Comment ya kitooto, yakipuuzi name hafifu sana
 
Biashara yeyote inayotaka technical know-how

Kama ya media,engineering,technology,innovation,manufacturing,consulting,law,education,medical,banking na kwa mbali construction...

Mosha hakatizi,atatia aibu...ndio maana katia aibu kwenye Swahili Media!

Karusha mguu mtu chali kauza!....Wakati Tido ana-run huo upuuzi kwa simu akiwa anakunywa kahawa nyumbani!...

Kwa haraka haraka tu,naona Mosha hana knack of identifying professional talent na kuwasimamia,hawezi...ni mpuuzi mno to do that!

Yeye asimamie madereva wake,aweke tracking kwenye magari na matanki ya magari wasimuibie mafuta ya wateja wakati anayapeleka DRC....

Ni simple,alichukua hela benki,kanunua magari baada ya kupata mkataba wa Kobil...ndio anakimbizana na magari,na yana insurance,yakianguka anarudishiwa mengine....

Hapo ni asali Kobil wasimnyang'anye mkataba maana atakua mchimba chumvi mzoefu.

Ana nini kingine?Bureau De Change?Sheli?Magari yameandikwa majina yake?Nigga puliiiiz....Who cares?
Mkuu una point lkn mtu ku fail project moja sioni kama ni Tatizo.. Uki google hapo utaona 1/3 ya biashara alizoanzisha Trump huwa zina fail.. hata Mengi biashara kibao alizoanzisha zimefail au ameuza.. magazeti kibao amefunga. Bharesa nae kuna product kibao zilifail.. kwa hiyo tusimjudge Mosha ni failure project moja ku fail
 
Mkuu una point lkn mtu ku fail project moja sioni kama ni Tatizo.. Uki google hapo utaona 1/3 ya biashara alizoanzisha Trump huwa zina fail.. hata Mengi biashara kibao alizoanzisha zimefail au ameuza.. magazeti kibao amefunga. Bharesa nae kuna product kibao zilifail.. kwa hiyo tusimjudge Mosha ni failure project moja ku fail

Ni kweli unachosema mkuu!

Sijasema yeye kufeli Swahili Media kua hafai,hapana...

Nachosema ni kua,akubali kua hajui vitu vyote,Media imemshinda!....No shame kukubali uliposhindwa na ku-move on!

Ukisema akina Mosha walishindwa kitu,unaonekana wewe ni mbaya,snitch,una wivu,etc..Wakati ni true it happened!

Na ukicheck trend za watu kama akina Mosha,hawezi biashara zinazotaka KNOW-HOW!

Yaani biashara yoyote yenye "technicality" tu,hua hawawezi!
 
Back
Top Bottom