William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Le Tumbozi , Le Kibamiaz
Le Tumbozi , Le Kibamiaz
le mutuz tatizo lako ni maneno mengiiiii vitendo sifuri... Huna lolote laiti ungekuwa una pesa the way unavyojishow off dunia nzima ingejua. Yaani kuwa na kimradi cha 5ml basi unajiona booonge la akili kubwa hahahahaaha..unayoyafanya sasa yalishafanywa kitambo sana tena na vijana wa under 30 wa sasa... Eti kula five star (double tree, southern sun) nako ni ujanja.hahaaha Tuliozitoa bikra (kwa kula na kulala kwa mara ya kwanza wakati zinafunguliwa) tusemeje...? Tumewaachia ninyi mnaokuwa kiumri kurudi nyuma na sio kwenda mbele..wakati sisi tunaziona ni kama Delux ya sinza kijiweni hahahahahaha naaafwaaz
Vipi umeacha kufukuliwa mtaro ???- hahahahaha umesahau Le KAzi Kazi BAmpa to BAmpa, ila kwa mamen kama wewe kulilia vibamia ina maana unapenda mizinga sana hahahahahaha
le Mutuz Superbrand
Unaona sasa ninayoyasema...? Hii ni sawa nakuonesha cheti cha kuhitinu form four kana kwamba umehitimu peke yako nchi nzima.hahahaahaha ushamba tu.. Wajukuu zako wenyewe hawawezi fanya upuuzi kama huu.. Siku zoote mtu anayejishow off sanaaaa hana lolote.
Vipi umeacha kufukuliwa mtaro ???
Kamuulize Demu wako mtalimbo niliomuesha pale Rose Garden. Wewe kazi kununua pedi- hahahaha sasa anayelilia vibamia si ndiye anayefukuliwa mitaro yake au? hahahahahahhahaa
le Mutuz Superbrand
Boss hiyo futari ya 65k kwa siku 30 ni Million 2 kasoro 50k.. Hii pesa si inatosha kuweka grills na hata milango miwili kwenye ile nyumba yako unayojenga?- Pole sana ninafanya kazi ya Social Media ambayo ina demand nionyeshe my lifestyle kwenye my Social Media tools, ila mimi binafsi ninayo maisha yangu mazuri sana na ninayapenda. Five Star Hotels huwa ninaalikwa kutokana na umaarufu wangu na nia yao huwa wanataka niwatangaze kuwa nimekula kwao.
- Toka Ramadan ianze nimekuwa naalikwa Hilton Hotel, kuanzia leo nimealikwa Serena ndio maisha yangu kutokana na kazi yangu, hayo mapovu yako sio fair cause huelewi kitu kuhusu my life, pole sana maana umetoka mapovu for nothing mimi I am just having fun with my life, na by the way sio Watanzania wote 55M wanaweza kula futari ya Tsh. 65K as I do.
- Tatizo lako ni huna maisha, wenye maisha hawana muda wa kujali mambo ya wenye maisha wengine ni MPAKA UWE HUNA MAISHA!
le Mutuz Superbrand
Kamuulize Demu wako mtalimbo niliomuesha pale Rose Garden. Wewe kazi kununua pedi
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Boss hiyo futari ya 65k kwa siku 30 ni Million 2 kasoro 50k.. Hii pesa si inatosha kuweka grills na hata milango miwili kwenye ile nyumba yako unayojenga?
Nakufahamu IN and out huwezi kunidanganya mimi wadanganye hao majuha unaowadanganya.. Lifestyle yako naifahamu..huna uwezo huo unaosema. Mwenye uwezo hawezi kujisemea lifestyle yake.. Eti futari ya 65k hahaahahahahaha- Pole sana ninafanya kazi ya Social Media ambayo ina demand nionyeshe my lifestyle kwenye my Social Media tools, ila mimi binafsi ninayo maisha yangu mazuri sana na ninayapenda. Five Star Hotels huwa ninaalikwa kutokana na umaarufu wangu na nia yao huwa wanataka niwatangaze kuwa nimekula kwao.
- Toka Ramadan ianze nimekuwa naalikwa Hilton Hotel, kuanzia leo nimealikwa Serena ndio maisha yangu kutokana na kazi yangu, hayo mapovu yako sio fair cause huelewi kitu kuhusu my life, pole sana maana umetoka mapovu for nothing mimi I am just having fun with my life, na by the way sio Watanzania wote 55M wanaweza kula futari ya Tsh. 65K as I do.
- Tatizo lako ni huna maisha, wenye maisha hawana muda wa kujali mambo ya wenye maisha wengine ni MPAKA UWE HUNA MAISHA!
le Mutuz Superbrand
Mzee baba onyesha hiyo mlio partner na mosha achana na hivi vi blog blog onyesha documents za AST tuone acha kujifaragua wakati mosha anamind mbaya kuhusu wew na utapeli wako kila siku ulikuwa unaomba pesa uende china mara wapi kumbe mbumbumbu tu
- I know ndio mawazo ya kimasikini hayo ninayaogopa sana maana 0.1% sio sawa na bure kama wewe mzigo wa kushinda JF kutukana wanaume usiowajua tena kwa majina ya bandia, hahahahahahaha pole sana mimi sio level yako nipo mbali sana ndio maana lazima unisome na unifuatilie hahahahahah U know!
le Mutuz Superbrand
Nakufa
Nakufahamu IN and out huwezi kunidanganya mimi wadanganye hao majuha unaowadanganya.. Lifestyle yako naifahamu..huna uwezo huo unaosema. Mwenye uwezo hawezi kujisemea lifestyle yake.. Eti futari ya 65k hahaahahahahaha
Mzee baba onyesha hiyo mlio partner na mosha achana na hivi vi blog blog onyesha documents za AST tuone acha kujifaragua wakati mosha anamind mbaya kuhusu wew na utapeli wako kila siku ulikuwa unaomba pesa uende china mara wapi kumbe mbumbumbu tu
Jinga sana hilo linajiona jaja wakati nalifahamu vizuri tu..linapenda sifa sana na hayo matangazo linayopost kwenye IG zake mengi ni ya kujipendekeza linafanya bure na kuambulia ofa za msosi tu..Boss hiyo futari ya 65k kwa siku 30 ni Million 2 kasoro 50k.. Hii pesa si inatosha kuweka grills na hata milango miwili kwenye ile nyumba yako unayojenga?
Ona hili Jinga. Embu angalia agemates zako wakina Mengi TV na radio stations zao halafu compare na hiyo camera na laptop (unayoita studio ya online TV) unayomiliki- Kama ninavyosema siku zote uongo usipojibiwa na ukweli na mapema sana hugeuka kuwa ukweli, ukweli ni kwamba:-
1. Mimi na Davis Mosha bado ni wamiliki wa AST, tulifika mahali tukakubaliana kwamba ili kupata faida KUBWA kuliko tuliyokuwa tunapata ni bora kukodisha TV na Radio zetu kwa yoyote anayeweza kuiendesha na kutulipa kila mwisho wa mwezi.
2. Walitokea watu wengi waliotaka kukodisha, lakini kwa pamoja tukaamua kuwakodisha tunaowafahamua zaidi yaani DIZZM.
3. Mimi na my patner Mosha hatujawahi kugombana wala haitakuja kutokea kwa sababu tunazo biashara nyingi zaidi ya TV na Radio, infact kila jioni ya mwezi huu wa Ramadan Mosha ana tabia ya kuwaomba marafiki zake wote kufika nyumbani kwake kufuturu na huwa ninahudhuria sana.
- Hii chuki na wivu wa my lifstyle haikuanza leo najua kwamba haitaisha leo, kwa taarifa yako ni kwamba hata kwenye my Online TV & Radio Mosha yupo very much involved, poleni sana ndio mawazo ninayoyaita ya masikini ukiwazidi huwa kazi yao ni kuombea uanguke uwe kama wao....hahahahahahaha.....tafuteni lingine kwenye hili mmekosea sio ukweli kama mengine yote ambayo huwa mnahangaika nayo!
- Otheriwse, ninawashukuru sana kwa free media coverage maana siamini mpaka leo 2018 bado Brand yangu "Le Mutuz Superbrand" ina nguvu ya kupata page 11 hata bila mimi mwenyewe kuwepo, nilikua busy sana ndio maana sikuwepo.
- Nilisafiri Cape Town/SA nilialikwa na Cape Town International Jazz Festival kwenye maonyesho yao ya Dunia ya kila mwaka, niliporudi nilisaifiri kikazi Mbeya, Mwanza, Mbeya nikarudi Mwanza tena na majuzi nilikua Dodoma, ndio maana sikuwepo hapa muda mrefu sana ila sasa nipo Dar.
le Mutuz Superbrand
mda utaongea tuu siku zote uendi against na past tutaona majigambo yako yataishia wapi babu yetu- Sihitaji kumuonyesha anyone, nenda Brela inaruhusiwa kuonwa na public, nipo ofisini kwangu now by the way napiga mzigo maneno maneno huwa sina zaidi ya maneno ya kazi kazi hahahahaha!
le Mutuz Superbrand