AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
kila mfatiliaji mzuri wa siasa anatambua mchango wako katika kupigania haki za wanyonge, mpaka uliwahi kufukuzwa UDSM kwa ajili ya kupigania hak za wanafunzi wenzako, hata kule kwenu mbozi ulipigana mpaka kikaeleweka ukamshinda siame wa CCM ijapokuwa alikudharau kwamba we ni kijana mdogo eti hauna pesa lakini kwa uzito wa upiganaji wako eventualy ukashinda.
plzzz njoo arumeru sasa usaidiane na makamanda wenzako wa CHADEMA ili tuongeze impact za kutosha hadi magamba wakione. tumpeleke kijana wetu Nassary mjengoni.
plzzz njoo arumeru sasa usaidiane na makamanda wenzako wa CHADEMA ili tuongeze impact za kutosha hadi magamba wakione. tumpeleke kijana wetu Nassary mjengoni.