Aziz ki lazima apate raha timu inacheza muda wote.
Chama lazima apate tabu ni mchezaji anaependa awe na mpira mara nyingi afanye yake.
Si mchezaji mzuri akiwa anapata mipira kwa nadra tena kazungukwa na wachezaji wabovu na mfumo mbovu.
Ukimchukua chama akacheze oale yanga atashine tena na tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.