Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,109
Dawa ya mpuuzi kumpuuza.mpuuzi mwenyewe ni wewe.umezoea maswala ya vijiweni unayaleta mpaka huku.Unajihisi uko na akili sana wewe ngedere???Hilo bichwa lako sijui linanini.Nikisema lina 'MAVI'ntakua nimekupendelea mana tunaweza tumia kwa mbolea.Anyway narudia tena "wewe ni mpuuzi acha nikupuuze"Halafu ona baadhi ya Watu walivyo ' Wapumbavu ' hasa yaani wamemuacha aliyeanza Kunitukana aliyeniita Mbwa wamekuja Kwangu niliyemjibu kwa Pigo ' takatifu ' ambalo najua limemuingia vilivyo na ndiyo maana hadi sasa limemlevya na amebaki tu kuweweseka. Nina miaka mitano hapa na naingia wa sita sijawahi na sitokuja Kumdhihaki Mtu kwa kumuita Mbwa halafu anatokea Mpuuzi mmoja ananiita Mbwa tena kirahisi rahisi tu akitegemea nitamuacha bila kumpa ' dozi ' yake mujarab / sahihi kabisa.
Ndo nishasema...