Damu ya kina Ben,Azory na wote wasio na hatia ndo zimesababisha anga kuwa na Giza laana imechukua nafasi ya BARAKA thus kila kitu kimefail na vyote vitafail hata roho zao zilipe visasi kwa chain nzima na watoto wao then ndo roho hizo zitaondoka duniani kurudi kwa Muumba, hivo wahusika kufail wayafanyayo kubuma ni muendeleze wa kuibeba ile laana. Maana damu ya MTU asiyo na hatia ikimwagika juu ya nchi ardhi hio ugeuka laana Hakuna chochote kitakachoweza stawi juu ya ardhi hio hadi ilipe visasi, hivo wasiojulikana wajiandae kukinywea kikombe cha historia ya matendo yao,hii ni universal laws haizuiliki kwa ndumba wala kwa Nabii. Fanya dhambi zote Lkn epuka kuoga damu utakuwa ni MTU asiye na makao nawe utatangatanga juu ya USO wa ardhi na lzm uvune ulichopanda kabla ujaondoka duniani, hii ni prophetic yaani karma laws.