Dark Girls - Mbona tunajidharau?

Ngojea niulize swali:
Mtu anakuahidi kukupa milioni moja. Lakini anakupa masharti kuwa lazima ufanye haya mambo mawili:
1)kuna mashindano ya mita 100. Wanaokimbia ni Mzungu, Mwaafrika na Muhindi. Anasema uchague mshindi na kama huyo uliyemchagua atashinda unasogea kwenye la pili. Kama akishindwa unapoteza milioni moja yako.
2) anakuwekea hesabu zito. Alafu anakupa choice ya watu watatu uchague mmoja wa ku-solve. Huyo utakaye mchagua akiweza unapata hiyo milioni. Hao watu ni mzungu, mwaafrika na mchina. Je utachagua yupi?

Sikuelewa kwa nini uliuliza swali hili…Unaamini mwafrika ana akili iliyoko chini? What are your answers?

kwa nini hichi kitu kinasumbua wanawake zaidi ya wanaume?

Nilipoona kuwa light skin ndiyo inayopendelea kwa watu mweupe na mweusi, nikadhani kuwa fikira hizo zilikuwa mazao ya racism kutoka kwa wazungu tu. Lakini, kuona kuwa upendeleo huu upo katika tamaduni zingi duniani, kumenifanya nitafakari zaidi. Kulingana na utafiti niliofanya, wanaume wana upendeleo ya kibailojia wa wanawake wenye "neotonuous features". Yaani, wanaume wengi wanavutiwa zaidi na wanawake walio na sifa za mwili (physical features?) zilizo typical kwa vijana (kama macho makubwa). Maadam light skin pia ni mojawapo wa sifa hizi za vijana, nadhani upendeleo wa light skin una chanzo ya kibailogia.
Rangi ya ngozi haina athiri kubwa kwa partner choice ya wanawake maana wanaume huwa fertile tangu kubalehe kwao mpaka kifo, ilhali wanawake huwa fertile katika ujana wao tu, yaani baina ya umri 12 hadi 50 kwa wastani (ndio sababu wanaume waliowengi huzidi mke wao kiumri).

I know that humans don't purely act and think based on their instinct to maintain our species alive through reproduction, but the instinct is there regardless. Ndiyo maana, vigezo vingi vya uzuri wa wanawake (na wanaume pia) vina msingi wa kibailojia.

(Samahani kwa kuchanganya kwa Kiingereza na Kiswahili kwangu, Bado najifunza kiswahili lakini najitahidi sana!)
 


Sikuelewa kwa nini uliuliza swali hili…Unaamini mwafrika ana akili iliyoko chini? What are your answers?



Nilipoona kuwa light skin ndiyo inayopendelea kwa watu mweupe na mweusi, nikidhani kuwa fikira hizo zilikuwa mazao ya racism kutoka kwa wazungu tu. Lakini, kuona kuwa upendeleo huu upo katika tamaduni zingi duniani, imenifanya nitafakari zaidi. Utafiti niliofanya kuhusu swali hili ulinijulisha kuwa wanaume wana upendeleo kibailojia wa wanawake wenye "neotonuous features". Yaani, wanaume wengi wanavutiwa zaidi kwa wanawake wanao na sifa za mwili (physical features?) zilizo typical kwa vijana (kama macho makubwa au ngozi laini). Maadam light skin pia ni mojawapo wa sifa hizi za vijana, nadhani kuwepo wa upendeleo wa light skin is a logical result of this.
Rangi ya ngozi haina athiri kubwa kwa partner choice ya wanawake maana wanaume huwa fertile tangu kubalehe kwao mpaka kifo ilhali wanawake huwa fertile only when they are young, yaani baina ya umri 12 hadi 50 kwa wastani (Pia ni sababu kwa nini mara nyingi, mume huzidi mke wake kiumri).

I know that humans don't purely act and think based on their instinct to maintain our species alive through reproduction, but the instinct is there regardless. Ndiyo maana, vigezo vingi vya uzuri wa wanawake (na wanaume pia) vina msingi wa kibailojia.

(Samahani kwa kuchanganya kwa Kiingereza na Kiswahili kwangu, Bado najifunza kiswahili lakini ninajitahidi sana!)

huo mfano wa kwanza ni kuonyesha prejudice iliyopo huku duniani! Kwenye mbia za mita 100 nitamchagua mwaafrika, maana ukiangalia ndio wana dominance kwenye hiyo area. Kwenye swala la hesabu, mpambano hasa ni kati ya mchina na mzungu. Nadhani ningechagua mzungu na hii inatokana na dominance yao katika hii area pia.
Ninachotaka kusema ni kama waafrika tunataka kubadilisha outlook yetu, ni lazima tupambane kwa nguvu zaidi!

Kuhusu point yako ya pili, unasema light skin ni a typical physical feature? Yani unasema watu wengi zaidi duniani ni light skinned?
 
huo mfano wa kwanza ni kuonyesha prejudice iliyopo huku duniani! Kwenye mbia za mita 100 nitamchagua mwaafrika, maana ukiangalia ndio wana dominance kwenye hiyo area. Kwenye swala la hesabu, mpambano hasa ni kati ya mchina na mzungu. Nadhani ningechagua mzungu na hii inatokana na dominance yao katika hii area pia.
Ninachotaka kusema ni kama waafrika tunataka kubadilisha outlook yetu, ni lazima tupambane kwa nguvu zaidi!

Haya, naelewa zaidi. Nikiri kuwa mimi pia nilijibu "mwafrika" kwa swali ya kwanza na kusita baina ya mchina na mzungu kwa swali la pili (mwishowe nilichagua mchina maana sasa waasia wako mbele sana kiteknolojia)…Turns out I'm much more prejudiced than I thought I was.
Ni kweli kabisa kwamba waafrika huhitaji kujitahidi zaidi ili waondoe taswira mbaya hii. Wanaweza kuwa zaidi ya wasanii au wachezaji tu.

Kuhusu point yako ya pili, unasema light skin ni a typical physical feature? Yani unasema watu wengi zaidi duniani ni light skinned?

Siyo. Ninachosema ni kwamba, kwa kawaida, watu wakiwa vijana wana rangi ya ngozi light kuliko wakiwa wazima. Kwa hiyo, usually, light skin humfanya wanawake waonekane kijana zaidi. Maadam wanaume wanavutiwa zaidi kwa wanawake waonekanao kijana (and thus look more fertile) nadhani ina mantiki kuwa wana upendeleo wa wanawake wenye light skin. Ndiyo maana light skin inadhaniwa kuwa sifa nzuri zaidi kwa wanawake tu in general (wanaume hawasumbuliwi na kitu hiki kwa kiasi sawa).
Kwa mfano mengine, mantiki ile ile inaweza kueleza pia kwa nini wanaume wengi wana upendeleo wa nywele ya rangi ya blonde kwa wanawake (huku wanawake hawajuwi kuwa na upendeleo wo wote wa light hair color kwa wanaume).
 
Haya, umenifafanua zaidi. Nikiri kuwa mimi pia nilijibu "mwafrika" kwa swali ya kwanza na kusita baina ya mchina na mzungu kwenye swali la pili (mwishowe nilichagua mchina maana sasa waasia wako mbele sana kiteknolojia)…Turns out I'm much more prejudiced than I thought I was...Pia, ni ukweli kuwa waafrika wahitaji kujitahidi zaidi ili waondoe taswira mbaya hii. Wanaweza kuwa zaidi ya wasanii au wachezaji tu.



Siyo. Ninachosema ni kuwa, kwa kawaida, watu wakiwa vijana wana rangi ya ngozi light kuliko wakiwa wazima. Kwa hiyo, mara nyingi, light skin humfanya wanawake waonekane kijana zaidi. Maadam wanaume wanavutiwa zaidi kwa wanawake waonekanao kijana (and thus look more fertile) nadhani ni mantiki sana kuwa wana upendeleo wa wanawake wenye light skin. Ndiyo maana light skin inadhaniwa kuwa sifa nzuri zaidi kwa wanawake tu in general (wanaume hawasumbuliwa na kitu hiki kwa kiasi sawa).
Kwa mfano mengine, mantiki ile ile inaweza kueleza pia kwa nini wanaume wengi wana upendeleo wa nywele blonde kwa wanawake (huku wanawake hawajuwi kuwa wana upendeleo wo wote wa light hair color kwa wanaume).

mimi nadhani simply ni jinsi unavyokuzwa. Ukikaa kwenye mazingira ambayo unakuwa constantly bombard with certain image, lazima utakuwa na perception kuwa hiyo ndio the best. Kwa upande wetu inaweza kuanza kwa ku-imarisha imagery ya wanawake walio na dark skin. Kuwaweka katika beauty adverts, leading roles kwenye movies na hata video za wanamuziki.
 
Mie binafsi naona hata sisi wenyewe ni wabaguzi, hebu fikiria binti mwenye rangi nyeusi haphapa TZ anapopita mtaani, utasikia watu wakisema "Dah! huyu mtu ni mweusiiiiiiii" au wengine watamtania "CHEUSIIIII" it pains you unabaguliwa ndani ya nchi yako mwenyewe. I hate it kwa kweli
 
mimi nadhani simply ni jinsi unavyokuzwa. Ukikaa kwenye mazingira ambayo unakuwa constantly bombard with certain image, lazima utakuwa na perception kuwa hiyo ndio the best. Kwa upande wetu inaweza kuanza kwa ku-imarisha imagery ya wanawake walio na dark skin. Kuwaweka katika beauty adverts, leading roles kwenye movies na hata video za wanamuziki.

Of course, utamadani wa jamii mtu alikozaliwa au kukulia ina athari kubwa juu ya perception of beauty ya mtu yule yule. Na hasa vyombo vya habari vina uwezo wa kushawishi ambao hatuwezi kupuuza, kama ulivyosema. Lakini, ninachotaka kujua ni, ni nini hasa inachovifanya vyombo vya habari viseme mwanamke fulani ni mrembo au la? What beauty criteria do they base their judgement on and where do these beauty criteria come from in the first place? Watu wengi wa Subsaharan Africa wana rangi ya ngozi dark sana, lakini nilipokuwa huko Afrika ya kati, all I could see were huge billboard showcasing advertisement for skin lightening. Wajapani, wathai na wahindi nao wana upendeleo kama hivi. Ukiangalia filamu za Bollywood utaona kuwa most lead actors ni light skinned.
Inaaminiwa kuwa light skin inapendelewa maana ni ishara ya utajiri which is a very rational explication, lakini haifafanui kwa nini hasa wanawake wanatakiwa kuwa light skinned wakati almost nobody cares when it's about men.

Don't misunderstand me though, sisemi kuwa maadam upendeleo huo ina asili ya kibailojia, hatuwezi kufanya cho chote kuwasaidia wanawake walio na dark skin wajiamini na kujipenda zaidi. Nakubali kwa asilimia 101 unapopendekeza wapate lead roles zaidi, wawekwe katika beauty advertisements n.k!
 
Of course, utamadani wa jamii alimo mtu alizaliwa au kukulia ina athari kubwa juu ya perception of beauty ya mtu yule yule. Na hasa vyombo vya habari vina uwezo wa kushawishi ambao hatuwezi kupuuza, kama ulivyosema. Lakini, ninachotaka kujua ni, ni nini hasa inachovifanya vyombo vya habari viseme mwanamke fulani ni mrembo au la? What beauty criteria do they base their judgement on and where do these beauty criteria come from in the first place? Watu wengi wa Subsaharan Africa wana rangi ya ngozi dark sana, lakini nilipokuwa huko Afrika ya kati, all I could see were huge billboard showcasing advertisement for skin lightening. Wajapani, wathai na wahindi pia (kwa mfano) wana upendeleo kama hivi. Ukiangalia filamu za Bollywood utaona kuwa most lead actors ni light skinned.
Inaaminiwa kuwa light skin inapendelewa maana ni ishara ya utajiri which is a very rational explication, lakini haifafanui kwa nini hasa wanawake wanatakiwa kuwa light skinned wakati almost nobody cares when it's about men.

Don't misunderstand me though, sisemi kuwa iwapo upendeleo huo ina asili ya kibailojia, hatuwezi kufanya cho chote kuwasaidia wanawake walio na dark skin wajiamini na kujipenda zaidi. Nakubali kwa asilimia 101 unapopendekeza wapate lead roles zaidi, wawekwe katika beauty advertisements n.k!

Ndio critical question hilo...
Nani ameanzisha hii perception?
 
Back
Top Bottom