Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Lori la Mkaa Usiku wa saa nane liligonga daraja na kuzuia magari yanayopita daraja hilo kukwama tokea iyo usiku muda huu.Source Clouds'BONGE
Lori la Mkaa Usiku wa saa nane liligonga daraja na kuzuia magari yanayopita daraja hilo kukwama tokea iyo usiku muda huu.Source Clouds'BONGE
duh!))))))))))Sasa kuna uhusiano gani kati ya hii taarifa na siasa? Ili si jukwaa la siasa?
Sasa kuna uhusiano gani kati ya hii taarifa na siasa? Ili si jukwaa la siasa?
thanx for the inf,but hapa si mahala pake.
Mahali pake ni kwenye Masaburi yako.UKIKOSA BIDHAA MUHIMU TOKEA KASKAZINI NA KASKAZINI LEO HAWANA MAGAZETI Ndio mahali pake?KICHWA KAMA KIKWETE
wewe Kiazi elewa kuna zaidi ya Watanzania 2000,pale wamekwama kuendelea na safari,Waliokuwa wanakwenda Kuzika Kaskazini wamekwama na Miili ya marehemu wao pale wewe unatumia Masaburi yako tuu.