Mkurungezi wa NSSF Anasema:-
"Nawasihi waajiri kulipa michango ya wafanyakazi kwa wakati ili wanufaike na shirika letu pia tunajitahidi kukamilisha miradi ya ujenzi wa daraja la Kigamboni na kujenga upya makazi kuanzia Mchikichini, lengo likiwa ni kubomoa nyumba mbovu na kujenga mji wa kisasa unaojitegemea - Satellite City".
----------------------------
Wananchi wa Kgamboni neema inakuja hiyo, nasikia mna wiki na zaidi pantoni lenu kubwa limekufa, poleni kwa maumivu tupo pamoja. hapa nimewaletea kipande tu cha neema kutoka NSSF kama haya anayosema mkurungezi ni kweli basi NEEMA imefunuliwa kwa watu wa kigamboni, kilio chenu cha karne kimesikika.
"Nawasihi waajiri kulipa michango ya wafanyakazi kwa wakati ili wanufaike na shirika letu pia tunajitahidi kukamilisha miradi ya ujenzi wa daraja la Kigamboni na kujenga upya makazi kuanzia Mchikichini, lengo likiwa ni kubomoa nyumba mbovu na kujenga mji wa kisasa unaojitegemea - Satellite City".
----------------------------
Wananchi wa Kgamboni neema inakuja hiyo, nasikia mna wiki na zaidi pantoni lenu kubwa limekufa, poleni kwa maumivu tupo pamoja. hapa nimewaletea kipande tu cha neema kutoka NSSF kama haya anayosema mkurungezi ni kweli basi NEEMA imefunuliwa kwa watu wa kigamboni, kilio chenu cha karne kimesikika.