mi nimenyuti tu mahali nakomaa na kupanga menu!si wanijua pande hizo nilivo makini kungwi wangu!tuliomba iwe hivi ili kuwepo utofauti tu na ndo mana ni rangi moja ila si vbya ukaweka rangi ambazo wewe utapenda siku hiyo japo kaweupe kawepo.
paw unamtoa na na kimodo cha white na jeans mchezo umeisha lol!
Najua ni SHE!!!!!!! Sasa hujui raha ya party ni Dishing n bitching abt other people???? Full maumbea na upashukuna! Umekiona kiatu cha tichaaa!!!!!!? Lile wigi la Ciello umeliona lakini? Hicho kiatu cha Madam B!!!!!! Yule mcute ni blaine au sio? Upo hapo?
Aliekwambia kutakuwa na KUJITAMBULISHA NANI??????????? Watu tunakutana tuna party na ID zinabaki siri vile vile!!!!!!! Hakuna utambulisho wa wewe nani au umetokea wapi!
Utayemuona kafanana na ID flani we mvagae tu!!!!!
Tunajifanyaga kuwa tunakwazika, ila kiukweli huwa hatukwaziki bali huwa tunafedheheka tuu na wengine kula kwa macho tuu hawashibi watataka..Tatizo hicho kiwalo white, tutakuja na linen zinaonyesha sio mistari tu bali na rangu ya teitei. Pasco et al watakwazikajeee!
But seriously, parties with formal dress code zinakuwa kama kitchen party. Paw ntamvalishaje sasa?
mi nimenyuti tu mahali nakomaa na kupanga menu!si wanijua pande hizo nilivo makini kungwi wangu!
Najua ni SHE!!!!!!! Sasa hujui raha ya party ni Dishing n bitching abt other people???? Full maumbea na upashukuna! Umekiona kiatu cha tichaaa!!!!!!? Lile wigi la Ciello umeliona lakini? Hicho kiatu cha Madam B!!!!!! Yule mcute ni blaine au sio? Upo hapo?
ngoja tuje kwenye party pale nitatangaza nia. btw jitupe ACB mkopo wa umeme lol!we mtoto wa kike nakumisije sasa!mwe
jamani gfsonwin mpenzi si upitishe bakuli nipate umeme mie!ah!
sitaki hela yako
King'asti umeona mambo haya??Kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiii lara 1, siku hiyo ni mabo ya Full White kama Wauza Nyama au Madaktari,
Chezea Mipango si Matumizi wewe............!!!!!!!!!!
TALALA HOIIIIIIIIIIIIIIIIIIII, WAllah tena.
SASA NJOONI MMETUVALIA GREEN AU YELLOW KAMA MABAUNSA lara 1, Madame B na gfsonwin tutawapitisha Getini.
Kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiii lara 1, siku hiyo ni mabo ya Full White kama Wauza Nyama au Madaktari,
Chezea Mipango si Matumizi wewe............!!!!!!!!!!
TALALA HOIIIIIIIIIIIIIIIIIIII, WAllah tena.
SASA NJOONI MMETUVALIA GREEN AU YELLOW KAMA MABAUNSA lara 1, Madame B na gfsonwin tutawapitisha Getini.
kwa neewe wa kulya kalali rooo kibo kya ndesi!karibu den mae osho na nndu kulasare foo bana............lol!