DAR WING -wa WHITE PARTY

lara 1 umenifurahisha walah nimecheka at least kibaridi kimepungua! ni PM nikukopeshe masharti na vigezo kuzingatiwa lakini

We nilipie tu ill be your company!!!!! All night (during the party tu usije kwenda mbali) LOLEST!!!!!!!!
 
Hii ya Party ya Tichaa inakuwa CLASSY ngoja huko mbeleni tutaandaa ya ki BELASCONY!!!!!!!!! Ni Over 18 tu na under 40 ndo wanarhususiwa!!!!!!! Ila for now tumaintain the standards za tichaaa! Mambo classic tu baaaaaaaaass!

na hapa nitakuwa siriaz kweli kimale, hakuna mambo ya akina BEYONCE hapa. lazima kila kitu kiwe kizuri cha kupendeza lol! ila mbon asion watu wakipropose juu ya hio tarehe ama wote wako poa nayo??
 
Idea ya ukweli sana hii gfsonwin...itakuwa poa...najua itakuwa mshangazo kuonana uso kwa uso na watu walio nyuma ya idea hizi nzito za jF...lol!!!...ni lazima nije ingawa nitamaintain anonymity...wapi Asprin na pendekezo la venuuuuuueee???!?!?
 
Last edited by a moderator:
haya mm nakusubiria kwenye kupangilia hii shughuli so far kuna added task ambazo nitamwelekeza snowhite akuambie ili uziandae kabisaaaaaaaaaaa! hope mc wetu atakuwa wewe sio??

Haaaaaaaaaaaah! Madam sasa hilo si neno! U MC mimi hapana! Si unajua lugha yangu ya kitaaa! Watu wazima hawatonielewa kabisaaa! Mimi niko back stage ndo naanda andaa mchanganuo wangu hapa kabla sija u upload!!!
 
Tichaaa mi nimekubaliana na wewe sema hapo nilikuwa namchangamsha Madam B kidogo asubuhi hiii!!!!!!Ofcourse sisi watu wazima hatuwezi fanya party ya vijana!!!!!!! Hapo tu nilikuwa nakumbukia the DARK DAYS!!!!!!! We endelea na mipango niachie Madam B nimchangmshechangamshe!!!!!!

hahahaaaaaaa........ lol!!!!
Ila kweli Bhana tusije hata kushindwa kuangaliana usoni bure. lara 1 na gfsonwin ila itabidi tutafute sehemu iliyochangamka halafu iwe ni sehemu ambayo kila mtu ataweza kufika kwa urahisi,
May be Tandale Kwa Mtogole, Manzese Uwanja wa Fisi au Tandale Mpakani Kwa Mfuga mbwa............lolest!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Idea ya ukweli sana hii gfsonwin...itakuwa poa...najua itakuwa mshangazo kuonana uso kwa uso na watu walio nyuma ya idea hizi nzito za jF...lol!!!...ni lazima nije ingawa nitamaintain anonymity...wapi Asprin na pendekezo la venuuuuuueee???!?!?

Aliekwambia kutakuwa na KUJITAMBULISHA NANI??????????? Watu tunakutana tuna party na ID zinabaki siri vile vile!!!!!!! Hakuna utambulisho wa wewe nani au umetokea wapi!

Utayemuona kafanana na ID flani we mvagae tu!!!!!
 
Napenda kuja kama nitakuwepo. Na napenda kuwakaribisha Wadada kati ya 5 na 10 ambao watathibitisha kuja na nitawatolea. Wadada wakiwa wengi Wakaka watakuja tu.

Kazi mojawapo nitakayofanya ni kuhamasisha michango JF ili tusiishie kula na kunywa tu maana JF pia inahitaji msaada wenu na pesa mnazo.

Kama vipi mmechukia basi mi siji tena!
 
hahahaaaaaaa........ lol!!!!
Ila kweli Bhana tusije hata kushindwa kuangaliana usoni bure. lara 1 na gfsonwin ila itabidi tutafute sehemu iliyochangamka halafu iwe ni sehemu ambayo kila mtu ataweza kufika kwa urahisi,
May be Tandale Kwa Mtogole, Manzese Uwanja wa Fisi au Tandale Mpakani Kwa Mfuga mbwa............lolest!!!!!!!!!
mweeeeeeh! huko sasa utaharibu lol!
nafkiri KakaKiiza na Asprin wafikirie viwanja vzr mitaa ya kawe ama mikochen ili tukeshe vzr lol!
 
Last edited by a moderator:
na hapa nitakuwa siriaz kweli kimale, hakuna mambo ya akina BEYONCE hapa. lazima kila kitu kiwe kizuri cha kupendeza lol! ila mbon asion watu wakipropose juu ya hio tarehe ama wote wako poa nayo??

Bhana Tarehe hiyo hiyo ndo Poa, watu tukichoka tunalala Kaunta.
Tunaamkia Jumapili Supuni.
 
Aliekwambia kutakuwa na KUJITAMBULISHA NANI??????????? Watu tunakutana tuna party na ID zinabaki siri vile vile!!!!!!! Hakuna utambulisho wa wewe nani au umetokea wapi!

Utayemuona kafanana na ID flani we mvagae tu!!!!!

Kwa hiyo ina maana vazi langu jipya la 2013 "Superman Costume" nisivae? Kama vipi watu watanigundua hasa ukizingatia mwendo wangu wa kasi.
 
Napenda kuja kama nitakuwepo. Na napenda kuwakaribisha Wadada kati ya 5 na 10 ambao watathibitisha kuja na nitawatolea. Wadada wakiwa wengi Wakaka watakuja tu.

Kazi mojawapo nitakayofanya ni kuhamasisha michango JF ili tusiishie kula na kunywa tu maana JF pia inahitaji msaada wenu na pesa mnazo.

Kama vipi mmechukia basi mi siji tena!

khaaa! nani akatae ofa kama hii lol!
haya mm namba moja utanilipia sawa?? kisa adhabu yako uniambie kwann salam zangu za new yr hukujibu?? tatu niambie kwann sim yako haipatikan wakati kuna ishu muhimu nilitaka kuongea na wewe??
 
Mama yangu mawazo yako ni mazuri sana, mie mwanao sina wasi wasi na wewe mama yangu. Mie la kuongeza hapo, mchakato wa ukusanyaji pesa ufanyike mapema, ili kuweza kupanga taratibu zinafota ili sherehe ifanyike katika muda muafaka.
nitafurah mwanagu sasa nina ombi kwako mwanangu hebu angalia hayo mawazo yangaua kisha wewe useme nini kiboreshwe ama kiondolewe??
 
Aliekwambia kutakuwa na KUJITAMBULISHA NANI??????????? Watu tunakutana tuna party na ID zinabaki siri vile vile!!!!!!! Hakuna utambulisho wa wewe nani au umetokea wapi!

Utayemuona kafanana na ID flani we mvagae tu!!!!!

IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEE...............
Kuna T-Shirts zenye ID Mgongoni.
Mtaumukaje thatha!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom