DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Sikuwahi kufikiri katika waislam kuna watu wapuuzi kama huyu shekhe.

Uislam anahimiza kusamehe na kusahau. Uislm ni dini ya amani.

Kauli alizotoa leo zinathibitisha huyu bwana ni mchumia tumbo!
Na amejiweka hewani ili avuliwe nguo maana Mange hana pazia akiamua kumvua mtu nguo. Halafu huyu sheikh matendo yake yana ukakasi sana kama vile sio kiongozi mkubwa wa kiroho
 
Sio kila anachotype mange ni cha ukwali...juzi alitype shiwaladu wapigwa mitama double double aikuwa kweli walishambuliwa na gari sio kupigwa km alivyoreport...issue ya kutukana viongozi wa imani sio sahihi kabisa
 
Sio kila anachotype mange ni cha ukwali...juzi alitype shiwaladu wapigwa mitama double double aikuwa kweli walishambuliwa na gari sio kupigwa km alivyoreport...issue ya kutukana viongozi wa imani sio sahihi kabisa
Huyu sheikh hiyo michezo ya qaumu lut mbona ndo zakee!!tunajua sana Mimi niliambiwa na watu wake wa karibu haswaa!!
 
Kamtukanaje kwani? Hivi Waarabu wanavyoitukana na kuiraani Marekani hawajafanikiwa
 
Na amejiweka hewani ili avuliwe nguo maana Mange hana pazia akiamua kumvua mtu nguo. Halafu huyu sheikh matendo yake yana ukakasi sana kama vile sio kiongozi mkubwa wa kiroho
Huyu sio sheikh huyu ni puppet tuuu!trying to fool Muslims
 
Hukumu inatolewa na Mungu tu. Binadamu tunajidanganya bila kujua malipo ya Hukumu unayoipanga kwa mwanadamu mwenzio.
 
Hivi ni kiongozi gani wa ngazi za juu hapa nchini alishawahi kusema atamkamata Mange nakumleta nnchini
 
Kazi ya kiongozi wa dini ni kuwafanya watu watambue makosa yao na wafikirie toba, na kumrudua Mungu. Kiongozi wa dini hapaswi Kuwa na ghadhabu na huwa mwepesi wa kusamehe na kumtakia mema aliemkosea. Huwa mstahimilivu na pia humsihi Mungu amsamehe aliemkosea hata bila kuombwa msamaha. Sasa huyu sheikh ni kinyume chake kwa sifa hizi, hii inapelekea tuamini Kuwa hana sifa ya utumishi wa Mungu Bali anahangaikia tumbo lake. Anayoyafanya yanapingana na utumishi wa Mungu Bali utumishi wa ccm.
 
Sheikh na wewe kulikoni Kumuita Mange kuwa ana mdomo Mchafu hilo nalo ni Tusi hakika ukitoa laana basi na wewe zitakupata maana ushatokwa na usafi wa kumsomea mtu albadir.

Kumbuka Kisa cha Mtume Alikuta mtu akitukanwa na huyo mtu hakujibu kitu ila ilipofika muda akajibu. akamuambia umekosea sana kwani Malaika walikuja kukujibia na ulipoanza wewe kumjibu mtukananaji Malaika wakaondoka zao na kurejea Mbinguni utukufu umekutoka..

Sheik kumuita mtu ana mdomo mchafu hakika umekosea. Navyofahamu Mange huwasuta wanafiki ili waache unafiki.
 
sifikirii na sidhani kama mange atadhurika

jambo la aibu sana kiongozi wa dini kumtamkia mfuasi ukomo kisa mna personal interest alitakiwa amsahihishe tu na kumsaidia kimawazo lakini suala la ukomo wa mtu hilo ni jambo la Mungu tena
Hii albadri au dua wangesomewa wale wezi wa viwanja na mali za miskiti dar es salaam .itapendeza zaidi
 
Ok.
Nimekuelewa..

Lkn Shehk mbona kajipa Kazi ya Mungu ya kuhukumu...???

Maana nakumbuka mwaka 1992 pale Mwembeyanga maduka ya nguruwe yalipochomwa moto,wakati serikali iliingiza FFU na Mbwa msikitini wkt wa Adhuhuri na kuwatandika waumini wa Kiislam kisawasawa kesho yake asbh viongozi wa Kiislam waliwakusanya waumini kwaajili ya kumsomea ALBADIRI wkt huo Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Agaustine Lyatonga Mrema.

Mrema leo tunae na ni Mwenyekiti wa chama flani cha siasa.

Sijaona haja ya kiongozi wa heahima kama yule kumjibu Mange zaidi ya kumpuuza.
Hilo la kujipa nafasi ya kuhukumu, anyway... kwangu naona ni very complicated kuliko tunavyochukulia!!

Tusisahau, huyu sio mwanasiasa kwamba keshazoea kuoga matusi! Watu kama akina JPM wanafahamu kabisa kwamba kuoga matusi itakuwa ni sehemu ya maisha yao!!

Kinyume chake, huyu ni kiongozi wa dini... wala hana uzoefu wa kutukanwa hovyo hovyo tena bila sababu! Mbaya zaidi, ni mtu mzima! Halafu anaibuka mtu from nowhere na stori za uongo na kuanza kumwamgia matusi mazito mazito!!

Man, simuungi mkono suala la kuapiza lakini jaribu kuchukua nafasi yake! Nae ni binadamu... usitarajie eti kwavile ni kiongozi wa dini ndo basi wala haitamuuma kuambiwa mse'nge... tusi baya kuliko yote kwa mwanaume!

Suala la kumjibu Mange... naona ukisoma maoni ya watu wote yanaashiria kitu kile kile ambacho Sheikh amekisema! Kwamba, Mange anatumia matusi kama njia ya kuwatisha watu na kweli 99% ya watu wanamuogopa sana Mange kwa sababu tu ya kuogopa atawamwagia matusi!

Hatujui tu lakini ukweli ni kwamba Watanzania wapo vifungoni na aliyeshika funguo za Mahabusu ni Mange!! Na Mange hilo analifahamu ndo maana amejawa na kiburi kwa sababu tu anafahamu watu wanamuogopa kwa ajili ya matusi yake! Ni kwamba ameshapewa free pass ya "usimguse huyo... hivi unamjua vizuri wewe!!!"

Sheikh amegoma kuwa mfungwa!! Na amesema wazi kwamba watu walimuonya asimjibu kwa sababu atazidi kumwagiwa matusi! Sheikh Mkuu akagoma kuwa terrolized hata kama alifahamu haya yangetokea! Na kwenye Uislamu, kujitia unyonge wala sio sifa ya uchamungu!

Na hapa ndipo Waislamu wanapoonekana wakorofi manake kujitia unyonge kwao wala sio sifa!!
 
Ushauri wangu kwake, kama yeye ni sheikhe mtumishi wa Allah, achana na wanasiasia, wqnasiasa watakuchafua, wanasiasa watakudhalilisha, wana siasa watavua heshima yako, wana siasa watakufanya dekio. Kwan Wanakupa sh ngapi bana??? Leo unavuna ulichopanda. Tafuta Kazi halali ufanye ujiingizie kipato, siasa za nchi hii waachie wanasiasa
 
Shekhe kapaniki Sana, hakuna çha albadili labda amloge tu sio eti kumshtakia kwa Muñgu,na ñasikia uçhawi haruki mipaka cjui atafanye shekheeee
 
Na amejiweka hewani ili avuliwe nguo maana Mange hana pazia akiamua kumvua mtu nguo. Halafu huyu sheikh matendo yake yana ukakasi sana kama vile sio kiongozi mkubwa wa kiroho
Mange kashachafua hali ya hewa huko insta. Ni balaa tupu!
 
Imenibidi niingie Instagram kusoma Mange kamjibu vipi ni hatari sana haswa ile neno la mwisho....

Kumbe Huyu Sheikh ni mla viboga i mean Miboga maana nasiki yeye zake mitac0 mikubwa mange anajuaje hayo wakati yupo Marekani? ati Mange anatamani nae angekuwa na Matac0 makubwa ampe Sheik ili amsamehe kha!
 
Back
Top Bottom