Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
Watu wasiotenda haki kwa wengine hawana faida yoyoteRais wa Tanzania, John Magufuli leo Jumamosi Februari 29, 2020 amemjulia hali makamu mwenyekiti wa CCM- Bara, Philip Mangula aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuanguka ghafla jana
======
PHILIP MANGULA AANGUKA GHAFLA, ALAZWA. RAIS MAGUFULI AMTEMBELEA
Rais Magufuli leo Februari 29, 2020 amemjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuanguka ghafla jana
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, Mangula amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU)
View attachment 1372999
Huko Mbowe anakatwa mitama na green guard ya polisi wa ccm bila hatia,huku Mwenyezi Mungu mweza wa yote,Muumba wa mbingu na dunia anashughulika na majemedari wa ccm,sijui nani ataibuka mshindi?Hapakuwa na haja ya kutoa statement kuwa alianguka
Viongozi kadhaa huanguka na husalia siri
Ingetosha kusema anaumwa
Kunradhi Comrade Mangula
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu acha hizo bana, mbona watu mna roho mbaya hivyo? Yaani hupendi mzee akastarehe mahali pema? Unapenda tu kumwona akiendelea kutaabika na kilimo cha vitunguu maji?
Hebu acha hizo bana, mbona watu mna roho mbaya hivyo? Yaani hupendi mzee akastarehe mahali pema? Unapenda tu kumwona akiendelea kutaabika na kilimo cha vitunguu maji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzimu! Kwani kafa lini?Mzimu wa membe utashughulika na kila nafsi iliyobaliki udhulumaji wa haki ya uanachama wa kachero mbobezi bado bashiru na dikiteta uchwara.
Yawezekana pia mapendekezo ya taarifa yao si "yale"
Saint souls are always protected!!! Bad " wishers " end up in hell while alive!!
Kachero mbobezi alituahidi harufu, ndio tunaisubiri.Mzimu wa membe utashughulika na kila nafsi iliyobaliki udhulumaji wa haki ya uanachama wa kachero mbobezi bado bashiru na dikiteta uchwara.
Harufu yenyewe ndo imeanza na huyu mbabu, anayefuata ni bushiri halafu shoo inamaliziwa kwa dikiteta uchwara.Kachero mbobezi alituahidi harufu, ndio tunaisubiri.