Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,871
Umechoka mwenyewe.wengine badoTumechoka kusikia habari hii
Umechoka mwenyewe.wengine badoTumechoka kusikia habari hii
Alipasa akapata disco,yakaja maagizo kutoka juu aachwe ni kijana wa chamaChuo kikuu alifikaje fikaje ? Maajabu haya Tanzania
Fanyeni kazi.Mambo ya Makonda hayatabadirisha umaskini wako.Umechoka mwenyewe.wengine bado
Hivi huyu mtu kazaliwa kolomije halafu anasumbua hivi vipi.kama angezaliwa agakhan si tungekuta amehamia ikulu kama wale ndege tausiBashite si darasa la saba.
Alifeli darasa la nne tunaambiwa.
Tunakula kwenu?Fanyeni kazi.Mambo ya Makonda hayatabadirisha umaskini wako.
Tunakula kwenu?Fanyeni kazi.Mambo ya Makonda hayatabadirisha umaskini wako.
Fake namesHivi Huyu RC anatumia nickname au fake name..?
Nauliza tu
Hili ndo la msingi kwa sasa.Tuangalie namna ya kuficha hii aibu kimataifa
Aisee tuheshimiane unaniambia nifanye kazi nakula kwako? Wewe fanya kazi ujitoe kwenye huo umasikini au unadhani kila mtu ni masikini kama wewe?Fanyeni kazi.Mambo ya Makonda hayatabadirisha umaskini wako.
We jembeMkoa pekee ambao RC wake anatumia nicknames
Mi naanza, msukumaThread inahusu wakuu wa mikoa na si wabunge...
Jaribu kuwa muelewa wa mambo, kama unataka kuzungumzia wabunge walioishia la saba anzisha uzi mwingine tutachangia...
Anatumia synonym.Hivi Huyu RC anatumia nickname au fake name..?
Nauliza tu
Kwa hiyo huyo kiumbe ni tapeli la elimu?Necta wamesema hawana jina la paul makonda wala daudi bashite.
Wote mnaofuatilia habari za huyu kiumbe hamna kazi za kufanya.Pia nahisi mnasumbuliwa Na mambo mawili.Tunakula kwenu?
Haaha.Hivi huyu mtu kazaliwa kolomije halafu anasumbua hivi vipi.kama angezaliwa agakhan si tungekuta amehamia ikulu kama wale ndege tausi
mkuu umenichekesha sanahuku mbeya mjini, mbunge wetu hatujui hata kaishia darasa La ngapi! ila namkubali tu hvyohvyo! dunia duara