Dar: Milioni 600 zatengwa kukarabati soko la Mabibo

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,116
Kutokana na uwepo wa changamoto kubwa ya miundombinu katika soko la Mabibo jijini Dar es salaam tayari halmashauri ya Ubungo imeanza kufanya maboresho ikiwemo kujenga maeneo ya kufanyia biashara na maboresho ya barabara za kuingilia sokoni hapo

Ambapo kiasi cha pesa Milioni 600 kimetengwa kwaajili ya ukarabati wa soko hilo ambalo kwasasa lina changamoto ya kujaa tope lililosababishwa na mvua hali inayowalazimu wafanyabiashara na wanunuzi kukodi mabuti ya kuingilia sokoni

Pia soma: DOKEZO - Serikali ina mpango gani na Afya za Wananchi wanaotumia Soko la Mabibo? Watu wanalishwa uchafu pale
 
Soko litajengwa pale pale palipo soko hilo la mabibo?

Itakuaje? Kama litajengwa hapo hapo kwenye eneo la soko la mabibo

Kuna taarifa kuwa hilo eneo sio la serikalini bali ni la mtu binafsi

Je? Wamepatana na vipi? Kuhusu mapato ya mwenye eneo na ilisemekana mwenye eneo hayupo tayari kuuza
 
Back
Top Bottom