Tuweni watulivu watanzania.selikaliyetu inafanya kazi kwauwaledi mkubwa atapatikanatu kwauwezo wa MUNGU
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Acha uongo,westgate wahusika waliuwawa na wengine kukamatwa baada ya kujichanganya na watu waliokufa!Kabla ya kuzungumza fanya uchunguzi kwanza mkuu...
Kwa taarifa yako kama unamfahamu bilionea Jakob Juma wa kenya alitekwa na kuuawa mwaka 2016.
Marekani na ulaya matukio kama haya nanatokea sana. Hebu fuatilia matukio ya kutekwa hawa matajiri
BOBBY GREENLEASE
VIRGINIA PIPER
JOHN PAUL GETTY III
ALDO MORO na wengine wengi.
Halafu hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kutetea uhalifu...mimi sivai gwanda wala nguo za kijani mkuu.
Mimi ni mtanzania mzalendo nayefikiria kabla ya kuongea nmsilishwi na mtu najilisha.
Sasa unaoolaumu vyombo vya usalama kwa uzembe una maana gani? Unakumbuka tukio la westgate attack?
Mamia ya watu waliuawa na watu kama watatu hivi...serikali ilituma polisi, wanajeshi, mpaka makomandooo lakini hawakukamata hata mhusika mmoja.
Kama hujui ni vizuri ukanyamaza kimya kuliko kuleta hisia zako kwenye mambo ya uhalisia.
Mfanyabiashara mkubwa kama Mo kutekwa sio jambo la kitoto. K7na mengi tusiyojajua its better kuwa kimyaaa. Achia vyombo vya usalama kazi yao.
Kikumbwa ni kumuombea huko aliko atoke salama.
ASANTE
Bado tu
Leta kidhibitisho mkuuAcha uongo,westgate wahusika waliuwawa na wengine kukamatwa baada ya kujichanganya na watu waliokufa!
kwa hiyo wazungu waliopo nchini sahivi wote ni wahusika,ameshawatoa weusi kuwa awahusiki...
Aisee ebu acha urongo walipatikana wapi labda useme walikamatana wenyewe kwa wenyewe baina ya polisi kikosi maalum na jeshi na kudunguana risasi waokwawakoAcha uongo,westgate wahusika waliuwawa na wengine kukamatwa baada ya kujichanganya na watu waliokufa!
Acha uongo na wewe hakuna gunmen hata mmoja aliyekamatwa kwa tukio la westgate, kama unabisha nenda YouTube katafute makala ya jaramandia la uhalifu utaona mohamedi Ali alivyofungukaAcha uongo,westgate wahusika waliuwawa na wengine kukamatwa baada ya kujichanganya na watu waliokufa!
Hii nchi itakalika kweli kama kila mtu atakuwa na "Manati Ya Mzungu"Ipo Haja Sasa Ya Kila Mwananchi Kumiliki MGUU WA KUKU!
Lete wewe kuwa hawakukamatwa?Umesahau mpaka mtanzania mmoja alikamatwa?Leta kidhibitisho mkuu
Angalau kidogo umenena mkuu!!Kuna "hidden agenda" kubwa cc watu wakawaida hatuwezi kuijua mpaka ikamilike......
Nimechanganya westgate na ile college,not a big deal!Acha uongo na wewe hakuna gunmen hata mmoja aliyekamatwa kwa tukio la westgate, kama unabisha nenda YouTube katafute makala ya jaramandia la uhalifu utaona mohamedi Ali alivyofunguka
Unazungumzia tukio la kuvamiwa chuo kikuu cha Garrisa na sio Westgate attack.Lete wewe kuwa hawakukamatwa?Umesahau mpaka mtanzania mmoja alikamatwa?
NimesharekebishaUnazungumzia tukio la kuvamiwa chuo kikuu cha Garrisa na sio Westgate attack.
Usicomment bila kuwa na uhakika mkuu ni vizuri hata uka google kuliko kuandika usichokijua.
ASANTE
Sawa mkuuNimesharekebisha
Shida kubwa ya WaTanzania ni kuwa kila Mtu ni mtaalamu wa kila kitu....Kabla ya kuzungumza fanya uchunguzi kwanza mkuu...
Kwa taarifa yako kama unamfahamu bilionea Jakob Juma wa kenya alitekwa na kuuawa mwaka 2016.
Marekani na ulaya matukio kama haya nanatokea sana. Hebu fuatilia matukio ya kutekwa hawa matajiri
BOBBY GREENLEASE
VIRGINIA PIPER
JOHN PAUL GETTY III
ALDO MORO na wengine wengi.
Halafu hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kutetea uhalifu...mimi sivai gwanda wala nguo za kijani mkuu.
Mimi ni mtanzania mzalendo nayefikiria kabla ya kuongea nmsilishwi na mtu najilisha.
Sasa unaoolaumu vyombo vya usalama kwa uzembe una maana gani? Unakumbuka tukio la westgate attack?
Mamia ya watu waliuawa na watu kama watatu hivi...serikali ilituma polisi, wanajeshi, mpaka makomandooo lakini hawakukamata hata mhusika mmoja.
Kama hujui ni vizuri ukanyamaza kimya kuliko kuleta hisia zako kwenye mambo ya uhalisia.
Mfanyabiashara mkubwa kama Mo kutekwa sio jambo la kitoto. K7na mengi tusiyojajua its better kuwa kimyaaa. Achia vyombo vya usalama kazi yao.
Kikumbwa ni kumuombea huko aliko atoke salama.
ASANTE