Dar: Mfanyabiashara Mohammed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Kabla ya kuzungumza fanya uchunguzi kwanza mkuu...

Kwa taarifa yako kama unamfahamu bilionea Jakob Juma wa kenya alitekwa na kuuawa mwaka 2016.

Marekani na ulaya matukio kama haya nanatokea sana. Hebu fuatilia matukio ya kutekwa hawa matajiri

BOBBY GREENLEASE
VIRGINIA PIPER
JOHN PAUL GETTY III
ALDO MORO na wengine wengi.

Halafu hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kutetea uhalifu...mimi sivai gwanda wala nguo za kijani mkuu.
Mimi ni mtanzania mzalendo nayefikiria kabla ya kuongea nmsilishwi na mtu najilisha.

Sasa unaoolaumu vyombo vya usalama kwa uzembe una maana gani? Unakumbuka tukio la westgate attack?

Mamia ya watu waliuawa na watu kama watatu hivi...serikali ilituma polisi, wanajeshi, mpaka makomandooo lakini hawakukamata hata mhusika mmoja.

Kama hujui ni vizuri ukanyamaza kimya kuliko kuleta hisia zako kwenye mambo ya uhalisia.

Mfanyabiashara mkubwa kama Mo kutekwa sio jambo la kitoto. K7na mengi tusiyojajua its better kuwa kimyaaa. Achia vyombo vya usalama kazi yao.

Kikumbwa ni kumuombea huko aliko atoke salama.

ASANTE
Acha uongo,westgate wahusika waliuwawa na wengine kukamatwa baada ya kujichanganya na watu waliokufa!
 
Kuna level ambayo mtu akiifikia, anapaswa kupewa ulinzi au kujiwekea ulinzi (body guards). Kushindwa kufanya hivyo unakuwa umejiweka kwenye hatari ambayo hatimaye, huchanganya watu akili!
 
Acha uongo,westgate wahusika waliuwawa na wengine kukamatwa baada ya kujichanganya na watu waliokufa!
Aisee ebu acha urongo walipatikana wapi labda useme walikamatana wenyewe kwa wenyewe baina ya polisi kikosi maalum na jeshi na kudunguana risasi waokwawako
 
Acha uongo,westgate wahusika waliuwawa na wengine kukamatwa baada ya kujichanganya na watu waliokufa!
Acha uongo na wewe hakuna gunmen hata mmoja aliyekamatwa kwa tukio la westgate, kama unabisha nenda YouTube katafute makala ya jaramandia la uhalifu utaona mohamedi Ali alivyofunguka
 
Acha uongo na wewe hakuna gunmen hata mmoja aliyekamatwa kwa tukio la westgate, kama unabisha nenda YouTube katafute makala ya jaramandia la uhalifu utaona mohamedi Ali alivyofunguka
Nimechanganya westgate na ile college,not a big deal!
 
Lete wewe kuwa hawakukamatwa?Umesahau mpaka mtanzania mmoja alikamatwa?
Unazungumzia tukio la kuvamiwa chuo kikuu cha Garrisa na sio Westgate attack.

Usicomment bila kuwa na uhakika mkuu ni vizuri hata uka google kuliko kuandika usichokijua.

ASANTE
 
Kabla ya kuzungumza fanya uchunguzi kwanza mkuu...

Kwa taarifa yako kama unamfahamu bilionea Jakob Juma wa kenya alitekwa na kuuawa mwaka 2016.

Marekani na ulaya matukio kama haya nanatokea sana. Hebu fuatilia matukio ya kutekwa hawa matajiri

BOBBY GREENLEASE
VIRGINIA PIPER
JOHN PAUL GETTY III
ALDO MORO na wengine wengi.

Halafu hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kutetea uhalifu...mimi sivai gwanda wala nguo za kijani mkuu.
Mimi ni mtanzania mzalendo nayefikiria kabla ya kuongea nmsilishwi na mtu najilisha.

Sasa unaoolaumu vyombo vya usalama kwa uzembe una maana gani? Unakumbuka tukio la westgate attack?

Mamia ya watu waliuawa na watu kama watatu hivi...serikali ilituma polisi, wanajeshi, mpaka makomandooo lakini hawakukamata hata mhusika mmoja.

Kama hujui ni vizuri ukanyamaza kimya kuliko kuleta hisia zako kwenye mambo ya uhalisia.

Mfanyabiashara mkubwa kama Mo kutekwa sio jambo la kitoto. K7na mengi tusiyojajua its better kuwa kimyaaa. Achia vyombo vya usalama kazi yao.

Kikumbwa ni kumuombea huko aliko atoke salama.

ASANTE
Shida kubwa ya WaTanzania ni kuwa kila Mtu ni mtaalamu wa kila kitu....
 
Back
Top Bottom