bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Moto uliozuka usiku WA kuamkia Leo alfajiri mida ya SAA 8 usiku umeteketeza Magari 8 katika kituo cha mafuta cha OIl COM kilichopo Boko magengeni Barabara ya ( bagamoyo road )
Chanzo cha moto huo ni NISSANI CIVILIAN inayofanya shughuri za kubeba abiria maarufu kama daladala kupata hitilafu ya umeme iliyopelekea kupiga shoti na kuzuka kwa moto mida hiyo ya usiku ikiwa imepack katika kituo hicho cha mafuta na kupelekea Magari 8 kuungua ila Magari 6 ndiyo yaliyoungua zaidi na mawili kuungua kidogo tofauti na mengine kiukweli moto ulikuwa mkubwa sana lakini juhudi za madreva boda boda wanaokesha kwa kubeba abiria wakishilikiana na walinzi walihangaika kuuzima moto huo lakini baadae likaja gari LA kikosi cha uokoaji cha fire na kuanza kushirikiana na wananchi hao katika kufanikisha kuuzima moto huo kamanda WA zima moto badae kulipo pambazuka alifika eneo LA tukio na kutoa onyo kwa Magari yanayopack katika kituo vya mafuta na kuwataka madereva na wamiliki kuacha kupack Magari kwenye vituo vya mafuta kwani ni hatari inaweza kupelekea maafa makubwa zaidi
Chanzo cha moto huo ni NISSANI CIVILIAN inayofanya shughuri za kubeba abiria maarufu kama daladala kupata hitilafu ya umeme iliyopelekea kupiga shoti na kuzuka kwa moto mida hiyo ya usiku ikiwa imepack katika kituo hicho cha mafuta na kupelekea Magari 8 kuungua ila Magari 6 ndiyo yaliyoungua zaidi na mawili kuungua kidogo tofauti na mengine kiukweli moto ulikuwa mkubwa sana lakini juhudi za madreva boda boda wanaokesha kwa kubeba abiria wakishilikiana na walinzi walihangaika kuuzima moto huo lakini baadae likaja gari LA kikosi cha uokoaji cha fire na kuanza kushirikiana na wananchi hao katika kufanikisha kuuzima moto huo kamanda WA zima moto badae kulipo pambazuka alifika eneo LA tukio na kutoa onyo kwa Magari yanayopack katika kituo vya mafuta na kuwataka madereva na wamiliki kuacha kupack Magari kwenye vituo vya mafuta kwani ni hatari inaweza kupelekea maafa makubwa zaidi