kvelia
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 246
- 44
Wataalamu naomba kujuzwa ni muda gani baada ya mwanamke kupata ujauzito huanza kuona mabadiliko ya nje kama vile kutema tema mate, kubagua vyakula n.k. na inawezekana dalili hizi zikaanza kutokea mapema kabla ya huo muda, na nini kifanyike kama itakuwa hivyo?