Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
1. Viongozi hupingana hadharani
2. Watu hukata tamaa na kuwa tayari kufanya lolote
3. Wasomi na wafanyakazi hujipambanua wazi kukipinga chama au serikali
4. Tofauti kubwa ya kipato kati ya matajiri na maskini
5. Familia za wanasiasa hujipanga makusudi kurithishana uongozi
2. Watu hukata tamaa na kuwa tayari kufanya lolote
3. Wasomi na wafanyakazi hujipambanua wazi kukipinga chama au serikali
4. Tofauti kubwa ya kipato kati ya matajiri na maskini
5. Familia za wanasiasa hujipanga makusudi kurithishana uongozi