Fidel80 its true kwamba hakuumia,ulikua ni uamuzi mgumu lakini ilibidi na namshukuru sana Mungu aliniwezesha kuvuka hapo.
Yeah Fidel80 Mungu wangu ni mkubwa sana na ananipenda mno.
You are very right,ameshanipa mwingine ambaye ni mnyenyekevu na hana hizo kauli chafu.Namshukuru Mungu sana kwa hilo. Umenichekesha na wewe pia ni mnyenyekevu?
Nikikuchumbia ukaninyima hiyo kitu talaka unarudi kwenu na Rambo mkononi.
Hahahahaha yeah.
Muulize Nyamayao ananipata sana na ni muwazi kwakweli.
bado nipo nipo! hebu fanya mpango...lol
Nitamwuliza Nyamayao kwa muda wangu,Happy Easter am quiting.