Umewahi kukutana na daladala imejaza abiria halafu upande mmoja unakuwa umeelewa utafikiri inataka kuanguka?
Sijui nini kinasababisha hali hiyo na sina hakika iwapo hiyo ni salama kwa abiria, maana huwa nawaza likiyumba kidogo tu huenda likabinuka na kusababisha ajali.
Kwanini magri haya chakavu yanaendelea kutumika? Kama yanahitaji maboresho kwanini hayafanyiki? Trafiki hawaoni?
Sijui nini kinasababisha hali hiyo na sina hakika iwapo hiyo ni salama kwa abiria, maana huwa nawaza likiyumba kidogo tu huenda likabinuka na kusababisha ajali.
Kwanini magri haya chakavu yanaendelea kutumika? Kama yanahitaji maboresho kwanini hayafanyiki? Trafiki hawaoni?