Daktari naombaa unisaidiee

Gloryb

Member
Nov 16, 2013
21
12
Habari za leo wana JF.

Mimi ni mzazi mpya nimejifungua kwa operation mtoto wangu wa kwanza tarehe 14/5/2014 ni jinsia ya kike. Msaada ninaoomba hapa ni kupatiwa ufumbuzi wa swala hili mwanangu anatoka damu kidogo kidogo katika sehemu zake za siri.

Ila dokta wa watoto na manesi wakasema hyo ni hali ya kawaida kwa mtoto wa kike.

JE DOKTA NI KWELI HABARI HII?
 
Hmm...sijawahi isikia hiyo.

Jaribu kutafuta second and third opinion kutoka kwa pediatrician.
 
Sometimes its normal kutokana na remnants za hormones kutoka kwa mama. Kuna wakati watoto huwa wanazaliwa na vititi vyao vinatoa maziwa. Itakuwepo kwa siku kadhaa na kuisha
 
Hii hutokana na maternal estrogen withdrawal. Within 1 month itakuwa imeacha in most cases
 
Ni kawaida dada, shaka ondoa. Sio tu kwa mtt wa kike hata kwa mtt wa kiume hutokea. Itaendelea kutoka mara nne mpk sita hivi then hali hiyo itakoma.
Say hi to her.
 
Habari za leo wana JF.

Mimi ni mzazi mpya nimejifungua kwa operation mtoto wangu wa kwanza tarehe 14/5/2014 ni jinsia ya kike. Msaada ninaoomba hapa ni kupatiwa ufumbuzi wa swala hili mwanangu anatoka damu kidogo kidogo katika sehemu zake za siri.

Ila dokta wa watoto na manesi wakasema hyo ni hali ya kawaida kwa mtoto wa kike.

JE DOKTA NI KWELI HABARI HII?

It is totally normal kwa mtoto wa kike kutokwa na damu kidogo katika sehemu zake za siri. This is perfectly normal -- it is caused by the withdrawal of the hormones she was exposed to in the womb. It will be her first and last menstrual period for another decade or so.
[h=3]When to Worry About Your Newborn's Genitals[/h] Contact your pediatric provider if you smell a foul odor from the discharge, which could indicate infection. And profuse bleeding or bleeding that doesn't fade after a few days may also need medical attention.

Otherwise just relax, your baby girl if perfectly okay!
 
Back
Top Bottom