Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
MKURUGENZI wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa nchini Dakta Hosea analalamikiwa vikali ofisini kwake kwa kitendo cha hivi majuzi kuchukua takriban milioni 48 za ofisi kwa ajili ya safari yake binafsi kwenda marekani katika mahafali ya mwanae analalamikiwa pia kwa tabia yake anaposafiri hamuachi yeyote kukaimu akihofia madudu yake mengi kugundulika.