Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
- Thread starter
- #41
wakati ndio sasa najua unampenda lakini ndo hivyo tena kaka, mwenye nguvu mpishe, kama waswahili wanvyosema mwenye kisu kikali ndo atakae enjoy nyama, step aside kaka kama domo zege nikusaidie kuna kadada kazuri hapa ofisini kwangu ni kageni nadhani katakufaa
no!no!...ukikutana na cl mwambie nakonda kwa ajili yake
Last edited by a moderator: