Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Hakuna ubishi kwamba tunangia kwenye uchaguzi mdogo katika majimbo ya IGUNGA na ARUSHA mjini. Igunga ni wazi jimbo lile liko wazi na kule Arusha CHADEMA imewatimua madiwani wakaidi. Kwa maana hiyo chaguzi ndogo hazikwepeki katika maeneo hayo.
Rai yangu kwa tume ya Taifa uchaguzi, watendeeni haki watanzania wa maeneo hayo wanao-qualify kupiga kura kwa kuwaingiza kwenye daftari husika na ondoeni wasiofaa.
Mtakumbuka Rev. Mtikila aliibua changamoto kubwa katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Tunduru baada ya kufariki kwa aliyekuwa mbuge wa jimbo hilo Juma J. Akukweti.
Tujifunze kutokana na makosa na ondoeni hisia za uchakachuaji mapema iwezekanavyo.
Nawasilisha.
Rai yangu kwa tume ya Taifa uchaguzi, watendeeni haki watanzania wa maeneo hayo wanao-qualify kupiga kura kwa kuwaingiza kwenye daftari husika na ondoeni wasiofaa.
Mtakumbuka Rev. Mtikila aliibua changamoto kubwa katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Tunduru baada ya kufariki kwa aliyekuwa mbuge wa jimbo hilo Juma J. Akukweti.
Tujifunze kutokana na makosa na ondoeni hisia za uchakachuaji mapema iwezekanavyo.
Nawasilisha.