Gazeti moja leo limeandika kuwa daftari la wapiga kura limeibiwa tayari, huko newala,
je ni matayarisho ya uchaguzi?
je ni la kwanza kuibiwa au kuna mengine ambayo yanapotea na kupatikana kwa namna za kitanzania?
manake nasikia harufu ya uchaguzi kabla ya 2010
je ni matayarisho ya uchaguzi?
je ni la kwanza kuibiwa au kuna mengine ambayo yanapotea na kupatikana kwa namna za kitanzania?
manake nasikia harufu ya uchaguzi kabla ya 2010